Na kwa sasa hatutaweza pata mtu aliewaunganisha wasanii wakawa wanasikika karibia wote na kutoboa kimafanikio kama wakati Ruge yupo ulikua unaweza msikia Mwasiti katoa wimbo, Chege katoa wimbo, Shilole, Ney wa mitego na zikawa zote zinafanya vizuri na kualikwa kufanya show kila mahali lakin wakati huu watasikia wcb tu hata watoe mabata madogo hutaweza sikia wimbo unahit zaid yao ndipo tunasema bongo music inapotea