Majizo na EFM Radio yako huu Utangazaji wa Kinafiki na Majungu wa Watangazaji Maulid Kitenge na Twalib Muwa utaiponza Radio yako

Majizo na EFM Radio yako huu Utangazaji wa Kinafiki na Majungu wa Watangazaji Maulid Kitenge na Twalib Muwa utaiponza Radio yako

Haiwezekani Watangazaji wako hawa Maulid Kitenge na Twalib Muwa ambao si tu ni Mashabiki wa Yanga SC bali pia ni Wanachama wa Yanga SC kila wakiwa pamoja Hewani katika Kipindi cha Sports Headquarters cha EFM Kazi yao ni Kuisakama Simba SC, Kuinanga, Kuidhalilisha na Kuichokonoa ili mradi tu Wamfurahishe Paymaster Wao GSM na Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said.

Twalib Muwa hakuwa na Upuuzi alionao Maulid Kitenge ambaye Kamuambukiza na bahati mbaya Watu wengine tunayemjua ndani nje, tunaojua Maisha yake ya Kwao Temeke, Elimu yake ya Kusuasua anayoichukua Chuo Kikuu Huria ( OUT ) na alifanyeje hadi akawa Mwenezi wa CCM huko Temeke tutakosa sasa Uvumilivu wake na tutaanza Kupiga Makombora yetu ya moja kwa moja juu yake ambayo tuna uhakika yatamuumiza kwani ni ya kweli na tuna uhakika nayo kwakuwa aliko tuko.

Mbona Mtangazaji Alex Luambano, Master Tindwa na Mchambuzi Amri Kiemba wa Sports Extra ya Clouds FM tunawajua ni wana Simba SC Kindakindaki ila wakiwa Hewani kamwe huwezi kuwasikia Wakiisakama Yanga SC kwa Kuinanga, Kuisanifu na Kuidhalilisha kama wafanyavyo Wapuuzi hawa Wawili wa EFM Radio Maulid Kitenge na huyu Twalib Muwa?

Sasa kama wanapenda Kuisemea Yanga SC kila wawapo Hewani Sports Headquarters ya EFM Radio kwanini tu basi wasiongee na Matajiri wa Yanga SC akina GSM ili Wafungue Yanga SC Radio Station ili iwe rahisi Kwao Kuisemea Yanga SC kwa kila aina ya Shobo walizonazo?

Majizo ( Mmiliki wa EFM na TvE ) huu Upuuzi wa hawa Watangazaji wako Maulid Kitenge na Twalib Muwa ambao ni kama vile Unauchekea Kibiashara unaweza Kukuathiri na hata Kukugharimu kwani utasababisha hata baadhi ya Sponsors wenye Mapenzi na Simba SC wakachukia na hata Kukataa Kudhamini Bidhaa na Huduma zao na Media yako na kukosa Mapato na baadae ikakushinda Kuiendesha.

Waambie wawe Professionals hasa katika Utangazaji wao kwani tumewachoka japo tunaipenda mno Radio yako ( hasa Kipindi hicho cha Michezo ) na hawajachelewa Kuiga Utangazaji wa Kiuweledi wa Watangazaji Wengine wa hiyo Radio yako na hata Redio zingine ambao hata wakiwa Hewani kamwe huwezi jua kama ni Mashabiki ya Simba SC au Yanga SC.

Mwisho kabisa nikupe Pole Majizo ambaye ni mwana Simba SC pamoja na Mkeo Lulu ( Elizabeth Michael ) na wana Familia wenu hapo Nyumbani Kwako mita chache kutoka Budget Hotel na ilipo Shule ya Feza Boys na ile ya Msingi ya Kanumba ( choka mbaya ) ya Kondo.
vumilia ndugu yangu.
 
..
1660824955898.jpg
FB_IMG_1629179437509.jpg
 
Prisca Kishamba, Yahaya Njenge na Edgar Kibwana ni wana Yanga SC lia lia ila kamwe wakiwa Hewani hutowasikia Wakitangaza Kimahaba kama hawa Wapuuzi Wawili Maulid Kitenge na Twalib Muwa wa Sports Headquarters ya EFM Radio.

Tumewachoka.
Edgar ni Simba damu kabisa hapo umechanganya
 
Kumbe Prisca ni shabiki wa mnyama, sikuwa nafahamu hilo, na hivyo ndivyo wengine wanatakiwa kuwa, sio makelele redioni kama watoto wadogo..
Huna Akili ni wapi nimesema kuwa Prisca Kishamba ni Shabiki wa Simba SC?

Hivi hakuna mahala katika huu huu Uzi nimesema kuwa Prisca Kishamba, Yahaya Njenge na Edgar Kibwana ni Mashabiki wa Yanga SC ila wakiwa Hewani huwa hawatangazi Kimahaba kama ilivyo kwa hawa Wapuuzi wenzako Wawili Maulid Kitenge na Twalib Muwa?

Hopeless mkubwa Wewe.
 
Jemedar saidi na wenzake mbona haukuwataja km na wao hawana weledi kwenye kazi yao maana wao kila siku wana deal na mambo ya yanga tu tena yenye lengo baya?
Hopeless kuna Mtu amekuzuia nawe Kuanzisha Mada ya Kuwahusu hawa Watangazaji wako Wawili uliowataja hapa?
 
Haiwezekani Watangazaji wako hawa Maulid Kitenge na Twalib Muwa ambao si tu ni Mashabiki wa Yanga SC bali pia ni Wanachama wa Yanga SC kila wakiwa pamoja Hewani katika Kipindi cha Sports Headquarters cha EFM Kazi yao ni Kuisakama Simba SC, Kuinanga, Kuidhalilisha na Kuichokonoa ili mradi tu Wamfurahishe Paymaster Wao GSM na Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said.

Twalib Muwa hakuwa na Upuuzi alionao Maulid Kitenge ambaye Kamuambukiza na bahati mbaya Watu wengine tunayemjua ndani nje, tunaojua Maisha yake ya Kwao Temeke, Elimu yake ya Kusuasua anayoichukua Chuo Kikuu Huria ( OUT ) na alifanyeje hadi akawa Mwenezi wa CCM huko Temeke tutakosa sasa Uvumilivu wake na tutaanza Kupiga Makombora yetu ya moja kwa moja juu yake ambayo tuna uhakika yatamuumiza kwani ni ya kweli na tuna uhakika nayo kwakuwa aliko tuko.

Mbona Mtangazaji Alex Luambano, Master Tindwa na Mchambuzi Amri Kiemba wa Sports Extra ya Clouds FM tunawajua ni wana Simba SC Kindakindaki ila wakiwa Hewani kamwe huwezi kuwasikia Wakiisakama Yanga SC kwa Kuinanga, Kuisanifu na Kuidhalilisha kama wafanyavyo Wapuuzi hawa Wawili wa EFM Radio Maulid Kitenge na huyu Twalib Muwa?

Sasa kama wanapenda Kuisemea Yanga SC kila wawapo Hewani Sports Headquarters ya EFM Radio kwanini tu basi wasiongee na Matajiri wa Yanga SC akina GSM ili Wafungue Yanga SC Radio Station ili iwe rahisi Kwao Kuisemea Yanga SC kwa kila aina ya Shobo walizonazo?

Majizo ( Mmiliki wa EFM na TvE ) huu Upuuzi wa hawa Watangazaji wako Maulid Kitenge na Twalib Muwa ambao ni kama vile Unauchekea Kibiashara unaweza Kukuathiri na hata Kukugharimu kwani utasababisha hata baadhi ya Sponsors wenye Mapenzi na Simba SC wakachukia na hata Kukataa Kudhamini Bidhaa na Huduma zao na Media yako na kukosa Mapato na baadae ikakushinda Kuiendesha.

Waambie wawe Professionals hasa katika Utangazaji wao kwani tumewachoka japo tunaipenda mno Radio yako ( hasa Kipindi hicho cha Michezo ) na hawajachelewa Kuiga Utangazaji wa Kiuweledi wa Watangazaji Wengine wa hiyo Radio yako na hata Redio zingine ambao hata wakiwa Hewani kamwe huwezi jua kama ni Mashabiki ya Simba SC au Yanga SC.

Mwisho kabisa nikupe Pole Majizo ambaye ni mwana Simba SC pamoja na Mkeo Lulu ( Elizabeth Michael ) na wana Familia wenu hapo Nyumbani Kwako mita chache kutoka Budget Hotel na ilipo Shule ya Feza Boys na ile ya Msingi ya Kanumba ( choka mbaya ) ya Kondo.

Yaan biased kishenz Yaan umeshindwa kumuongelea jemedar kapara kabisa
 
Back
Top Bottom