Majizzo kiboko kaja na speaker zake Kali

Majizzo kiboko kaja na speaker zake Kali

๐— ๐—ฎ๐—ท๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐—ธ๐—ฎ๐—ท๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜€๐—ฝ๐—ฒ๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ๐—ฟ ๐˜‡๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ

View attachment 3144612

Hatimaye mkurugenzi na muanzilishi wa media Efm na ETV nchini tanzania mfanyabiashara Majizzo amefanikiwa kupiga hatua kwa kuweza kuleta speaker zake nzuri ๐Ÿ”Š.

View attachment 3144613

Majizzo ameamua kuleta speaker izo ambazo zenye kutumia teknolojia ya Bluetooth kuweza kukupatia burudani wakati unasikiliza.



Zinaitwa jizo Bluetooth speaker ambazo zimetoka za aina tatu tofauti tofauti ๐Ÿ‘‡
โ€ข jizo - 4
โ€ข jizo - 6 na
โ€ข jizo - 8

View attachment 3144614

Mdundo wake usipime ni zaidi ya Jbl ๐Ÿ˜
Tunaweza sema JIZO ni mshindani wa JBL ๐Ÿ‘‹

#bongotech255 #jizosound #majizzo #teknolojia #fahamuzaidi
Hongera kwa kuthubutu......mdogo mdogo tutafika.

Mitano tena, 4R
 
Kuweka brand yako kwenye bidhaa toka nje isn't really an achievement. Watu wanaweka brand names zao kwenye nguo, viatu, pikipiki, mafuta nk. Hizi zote zinakuja shindana in an already saturated market kwa wateja wenye limited disposable income.

Wabongo ni muda wa kufikiria kuongeza thamani bidhaa za ndani na kuuza ndani na nje ya nchi especially kwa watu wenye connection na uwezo kiasi. Bongo Kuanzia GSM hadi mtu wa kawaida kabisa wote wanashindana kuuza nguo na bidhaa hizi hizi toka China na Turkey, tutafika kweli? Yet kuna uhaba wa dola nchini, zitoke wapi? Hapo ukitoa brand name yake hamna cha maana alichofanya.
Pointi kubwa sana Braza
 
Kwahiyo ubora wa speaker ni mdundo wa basi๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
China wanakufanyia branding kulingana na mzigo unaoagiza, hizi speaker headquarter yake ni wapi wanakotengeneza kama sio kindergarten wa China.
 
Wale watoto wa Muhammad na Allah walio amriwa kupulizwa matakoni kila wanapo inama kuswali wataletewa horn speaker.
Nini ambacho huwa kimewakuta au kinawakuta kiasi cha kufikia kupeana kauli za kejeli kama hizi ?
 
Back
Top Bottom