Wale watoto wavivu sana,wanawafanyisha mazoezi kumudu hali ya usafiri na uchotaji maji umbali mrefu.hii management haina macho, na elimu yao ni ya kweny makaratac, kila kukicha badala ya kutatua tatzo moja wanajkuta wanatumbukia kwny lingne, We uliza tu usajili saiv unavyofanyika pale Jamhur Stadium, yaani watu wanakua kama vchaa
Jibu lako lipo kitaalamu zaidi,na pale hayo mawazo hakuna.sio uvivu ila ni utaratbu mbovu uliowekwa usiokidhi utoaji huduma kwa idadi ya watu waliopo.
Jibu lako lipo kitaalamu zaidi,na pale hayo mawazo hakuna.
jamani naomba kujuzwa! Je ni kweli na sahihi kwa UDOM Kutoza sh. Laki na nusu kwa kukodi joho? Natanguliza shukurani
Unajua kwa mazoea au unajua koz ulikuwa pale info.Nimegraduate juz 2 at college of informatics ila hizo tetec sijazisikia mi najua tunalipia 30000
ka mliweza kumchangia mkulu hela ya kuchukua fomu kwa nini mshindwe hela ya joho linalowahusu,ukiona umeshindwa kabisa sio lazima kukodi
Unajua kwa mazoea au unajua koz ulikuwa pale info.
jamani naomba kujuzwa! Je ni kweli na sahihi kwa UDOM Kutoza sh. Laki na nusu kwa kukodi joho? Natanguliza shukurani