Majukumu ya waziri mwandamizi yanahitaji chombo (ibara 100)

Majukumu ya waziri mwandamizi yanahitaji chombo (ibara 100)

usijiseme kama ungekuwa mwalimu kwa maana kuwa mwalimu si kushika kalamu nyekundu kuweka tiki bali ni kuwa na sifa ambazo ni uelewa wa unachofundisha.

mchango wako unaonyesha wewe kustahili kuwa mwanafunzi kwa maana hujui majukumu ya tume na huwezi kupima kama tume inafanya kazi au la.

maelezo hayo yamekutajia mifano ya makosa makubwa ya kiuchumi tunayoyafanya na kuhoji hapa tume tuliyo nayo iko wapi?

najisikia kutoa machozi pale unapojiona mjuzi na ukaishia kuangalia katiba imetaja nini basi.

lakini huwezi kutathimini kitu tulichonacho ambacho hakifanyi kazi na kujiuliza je tunachokitengeneza kitakuwa kama hiki tulicho nacho kisicho na tija.

Nina hakika huyu ndugu hawlewi labda ni mimi tu ndo naona hivi,naona mara nyingi michango yake anarudiarudia yaleyale kujaza kurasa, ningekuwa mwalimu wake angeisoma namba huyu! Anazungukazunguka tu kupoteza muda! Nimeona mchangiaji mmoja kamwambia Katiba inayopendekezwa imeweka mfumo wa Kuwa na Tume ya Mipango ambacho ndiyo chombo cha juu kabisa cha kupanga na kusimamianutekelezaji wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya taifa na Bunge litatunga sheria kukipa nguvu chombo hiki sijui hapa hajaelewa nini, napata shida na elimu yake huyu!!!!!
 
usijiseme kama ungekuwa mwalimu kwa maana kuwa mwalimu si kushika kalamu nyekundu kuweka tiki bali ni kuwa na sifa ambazo ni uelewa wa unachofundisha.

Mchango wako unaonyesha wewe kustahili kuwa mwanafunzi kwa maana hujui majukumu ya tume na huwezi kupima kama tume inafanya kazi au la.

Maelezo hayo yamekutajia mifano ya makosa makubwa ya kiuchumi tunayoyafanya na kuhoji hapa tume tuliyo nayo iko wapi?

Najisikia kutoa machozi pale unapojiona mjuzi na ukaishia kuangalia katiba imetaja nini basi.

Lakini huwezi kutathimini kitu tulichonacho ambacho hakifanyi kazi na kujiuliza je tunachokitengeneza kitakuwa kama hiki tulicho nacho kisicho na tija.
wewe daima umezaliwa na akili za kupinga pinga tuuu, acha mbwembwe zako bhana hapa tumekuchoka.
 
pengine sasa naweza kubaini tatizo linalowasumbua wengi.

mimi binafsi nimezoea kufanya kazi ambazo kazi inaongozwa na vitabu kama vitano na vitabu vyote vinatumika wakati wote hivyo wakati wote ni kuangalia jambo si katika kifungu kimoja.

yawezekana wengi mkisoma kifungu kimoja period. na mimi usomaji wangu wa katiba ni kila ninalolisoma lazima niangalie vifungu vingi kutafuta ili hilo jambo likamilike linahiytaji nini na katika hayo kuna migongano au kukamilika kwa jambo hilo vipi. lakini naenda mbali zaidi kwa kuangalia kitu hali kitakuwaje.

sasa wewe unajifanya unasoma kumbe wewe ukiambiwa ibara ya kumi na nane basi unasoma hiyo inakwisha na hilo ndipo tatizo lako lilipo.

katiba haisomwi kwa kipengele kimoja kinasemaje kwa maana wengine mnajifanya wataalamu lakini kumbe akisoma kifungu basi anaona kimejitosheleza.

katiba nimesema ni utaratibu wetu wa kuishi na katika kuisoma inasomwa hivyo. usiishie jambo kutajwa katika kifungu kimoja bali angalia utekelezaji wa hilo jambo mpaka likamilike.

ipo hoja ya msingi hapa ya waziri mkuu.

anakuja raisi na malengo yake ambayo hayaja kaa kitaalamu kwa kuwa yeye ni mwana siasa anakuwa na mawazo. sasa yeye anamuagiza waziri mkuu. hapa inatakiwa waziri mkuu abadilishe mawazo ya raisi kutoka katika ideas kuwa ya kitaalamu na hapa hawezi kutoa maagizo kwa maana bila ya kujua hii hoja inahusisha wizara zipi na kwa jinsi gani kila wizara inahusika.

je atoe magizo ya jumla kwamba kila mmoja aangalie kama anahusika na shughulikie linalomhusu?

au kwanza yeye abadili mawazo ya raisi kuwa ya kitaalamu na kuangalia ni taasisi zipi zinahusika na kwa kiwango ganin na atoe maagizo ya kazi kulingana na kila taasisi inachotakiwa kufanya au atoe maagizo kwa taasisi moja ua mbili zinazoonekana kwa juu ambazo bila kufanya utafiti wa kitaalamu kila mmoja anaona hawa wanahusika.


kwangu mimi naona waziri mkuu kuwa na chombo cha kusaidia kufanya majukumu yake kwa kubadili mawazo kuwa katika mpango wa utekelezaji wa kitaalamu na yeye kutoa maagizo kutokana na mpango wa utekelezaji unaoandaliwa kitaalamu ndio nji yenye tija na chombo hiki kinakuwa na mifumo ya kufuatilia implementation na kumpa waziri mkuu taarifa.

hivyo kutokana na taarifa za chombo chake anaweza kutimiza usiamiaji wa shughuli za kila siku kwa maana chombo kinatengenezwa kwa kusimmia na kupanga shughuli zote za serikali.

lakini ipo falsafa moja walikuwa wanaitumia walionifundisha katika chuo kimoja hapa kwetu kuwa anakusumbua kujifanya umekosea kumbe yale unayoyafanya anaandaa paper kwenda kutafuta certificate za kwake hivyo tu ni vema kila mtu hapa ajadili mada kwa ajili ya katiba.

wewe unamuuliza mwenzio hayo maswali eti anaiujua katiba wakati wewe mwenyewe hujawahi hata kuishika afu unakuwa mbishi kama mbogo, kaisome kwanza vizuri ndo uje kubisha kwa hoja zenye maana na sio ubishi wa kijinga usio na maana.
 
binafsi huwa napenda sana kila mtu kutoa mawazo yake na kila mtu kupima mawazo ya wengine na kufanya maamuzi juu ya mada.

lakini jamii yetu imetengeneza ubumbumbu unaotokana na sisi kujifanya tunajua na tunaridhika mapema sana na na kile tunachokijua na kug'ang'ania hayo hayo na tabia hii imetutia upumbavu.

hata mjinga, hata mwelevu hakuna anayekubali chalenji bali kuwaona wenye kufikiri tofauti na wao

tufanye maamuzi sahihi juu ya chombo hiki cha waziri mkuu kwa maana hii itatuondolea porojo kwa waziri mkuu na kumfanya afanye kazi kwa facts na utaalamu, itaondoa tume za kuchunguza kwa maana waziri mkuu atakuwa anatambua kila kitu labda kama tume inaudwa na mihimili mingine kuchunguza ripoti za waziri mkuu.

Ego bhana unajaza saver Ya JF kwa ubishi usio na maana.
 
pengine sasa naweza kubaini tatizo linalowasumbua wengi.

mimi binafsi nimezoea kufanya kazi ambazo kazi inaongozwa na vitabu kama vitano na vitabu vyote vinatumika wakati wote hivyo wakati wote ni kuangalia jambo si katika kifungu kimoja.

yawezekana wengi mkisoma kifungu kimoja period. na mimi usomaji wangu wa katiba ni kila ninalolisoma lazima niangalie vifungu vingi kutafuta ili hilo jambo likamilike linahiytaji nini na katika hayo kuna migongano au kukamilika kwa jambo hilo vipi. lakini naenda mbali zaidi kwa kuangalia kitu hali kitakuwaje.

sasa wewe unajifanya unasoma kumbe wewe ukiambiwa ibara ya kumi na nane basi unasoma hiyo inakwisha na hilo ndipo tatizo lako lilipo.

katiba haisomwi kwa kipengele kimoja kinasemaje kwa maana wengine mnajifanya wataalamu lakini kumbe akisoma kifungu basi anaona kimejitosheleza.

katiba nimesema ni utaratibu wetu wa kuishi na katika kuisoma inasomwa hivyo. usiishie jambo kutajwa katika kifungu kimoja bali angalia utekelezaji wa hilo jambo mpaka likamilike.

ipo hoja ya msingi hapa ya waziri mkuu.

anakuja raisi na malengo yake ambayo hayaja kaa kitaalamu kwa kuwa yeye ni mwana siasa anakuwa na mawazo. sasa yeye anamuagiza waziri mkuu. hapa inatakiwa waziri mkuu abadilishe mawazo ya raisi kutoka katika ideas kuwa ya kitaalamu na hapa hawezi kutoa maagizo kwa maana bila ya kujua hii hoja inahusisha wizara zipi na kwa jinsi gani kila wizara inahusika.

je atoe magizo ya jumla kwamba kila mmoja aangalie kama anahusika na shughulikie linalomhusu?

au kwanza yeye abadili mawazo ya raisi kuwa ya kitaalamu na kuangalia ni taasisi zipi zinahusika na kwa kiwango ganin na atoe maagizo ya kazi kulingana na kila taasisi inachotakiwa kufanya au atoe maagizo kwa taasisi moja ua mbili zinazoonekana kwa juu ambazo bila kufanya utafiti wa kitaalamu kila mmoja anaona hawa wanahusika.


kwangu mimi naona waziri mkuu kuwa na chombo cha kusaidia kufanya majukumu yake kwa kubadili mawazo kuwa katika mpango wa utekelezaji wa kitaalamu na yeye kutoa maagizo kutokana na mpango wa utekelezaji unaoandaliwa kitaalamu ndio nji yenye tija na chombo hiki kinakuwa na mifumo ya kufuatilia implementation na kumpa waziri mkuu taarifa.

hivyo kutokana na taarifa za chombo chake anaweza kutimiza usiamiaji wa shughuli za kila siku kwa maana chombo kinatengenezwa kwa kusimmia na kupanga shughuli zote za serikali.

lakini ipo falsafa moja walikuwa wanaitumia walionifundisha katika chuo kimoja hapa kwetu kuwa anakusumbua kujifanya umekosea kumbe yale unayoyafanya anaandaa paper kwenda kutafuta certificate za kwake hivyo tu ni vema kila mtu hapa ajadili mada kwa ajili ya katiba.
Acha uongo wako wewe, shule yenyewe umeishia form 4 na ulichemka.
 
binafsi huwa napenda sana kila mtu kutoa mawazo yake na kila mtu kupima mawazo ya wengine na kufanya maamuzi juu ya mada.

lakini jamii yetu imetengeneza ubumbumbu unaotokana na sisi kujifanya tunajua na tunaridhika mapema sana na na kile tunachokijua na kug'ang'ania hayo hayo na tabia hii imetutia upumbavu.

hata mjinga, hata mwelevu hakuna anayekubali chalenji bali kuwaona wenye kufikiri tofauti na wao

tufanye maamuzi sahihi juu ya chombo hiki cha waziri mkuu kwa maana hii itatuondolea porojo kwa waziri mkuu na kumfanya afanye kazi kwa facts na utaalamu, itaondoa tume za kuchunguza kwa maana waziri mkuu atakuwa anatambua kila kitu labda kama tume inaudwa na mihimili mingine kuchunguza ripoti za waziri mkuu.
Sasa wewe mada zako ni sifuri, umekalia ubishi wa bureeee.
 
elimu kwako ni kitu gani?

wengine hudhani ni vyeti lakini kwangu mimi elimu ni yale maarifa mtu anayoyakusanya.

hivyo mtu kaishia hatua gani ni indication ya ni maarifa gani mtu anaweza kuwa nayo lakini si maarifa na hapo ndio unapokuja kukuta tofauti kuwa wengine wana vyeti kibao lakini maarifa kichwani kidogo na wengine wana vyeti vichache lakini maarifa kichwani mengi.

sijui ni yupi kati ya hawa wanadamu wawili anayefaa au jamii ifuate mfumo upi?

nasema hivyo ili kukumbusha wewe kuwa elimu yako si vyeti ulivyo navyo bali ni maarifa uliyaweka kichwani mwako hivyo kama una cheti ambacho huwezi kukitetea basi cheti hicho ni kama hauna na yule ambaye hana cheti lakini maarifa anayo kwangu mimi naona is more useful than a certified ignorant.

lakini pia sote tuelewe kuwa tunatakiwa kutafuta maarifa na vyeti ni ushahidi tu.

sasa hapa hatuchalenjiani kwa vyeti au maarifa kwa maana tukienda hivyo hatutajadili katiba bali kila mmoja alicho nacho aweke mezani alafu tuchague yanayotufaa kwa ajili ya kuweka utaratibu wa kuongoza maisha yetu yaani katiba.

Acha uongo wako wewe, shule yenyewe umeishia form 4 na ulichemka.
 
elimu kwako ni kitu gani?

wengine hudhani ni vyeti lakini kwangu mimi elimu ni yale maarifa mtu anayoyakusanya.

hivyo mtu kaishia hatua gani ni indication ya ni maarifa gani mtu anaweza kuwa nayo lakini si maarifa na hapo ndio unapokuja kukuta tofauti kuwa wengine wana vyeti kibao lakini maarifa kichwani kidogo na wengine wana vyeti vichache lakini maarifa kichwani mengi.

sijui ni yupi kati ya hawa wanadamu wawili anayefaa au jamii ifuate mfumo upi?

nasema hivyo ili kukumbusha wewe kuwa elimu yako si vyeti ulivyo navyo bali ni maarifa uliyaweka kichwani mwako hivyo kama una cheti ambacho huwezi kukitetea basi cheti hicho ni kama hauna na yule ambaye hana cheti lakini maarifa anayo kwangu mimi naona is more useful than a certified ignorant.

lakini pia sote tuelewe kuwa tunatakiwa kutafuta maarifa na vyeti ni ushahidi tu.

sasa hapa hatuchalenjiani kwa vyeti au maarifa kwa maana tukienda hivyo hatutajadili katiba bali kila mmoja alicho nacho aweke mezani alafu tuchague yanayotufaa kwa ajili ya kuweka utaratibu wa kuongoza maisha yetu yaani katiba.
Ondoa uongo wako wewe, kama ni vyeti kwanini ulifeli afu unakuja humu kudanganya watu? Kama sio vyeti nenda kaombe kazi bila hivo vyeti afu uone kama utapata hiyo kazi, labda upate ya kuzibua vyoo na kufagia ambayo hata haitaji vyeti.
 
unachekesha ndugu yangu

wewe unaongelea mifumo ya ulimwengu wa tatu!

katika ulimwengu wa kwanza ndugu yangu vyeti havina maana bali CV yako na wewe kuitetea CV yako.

vyeti ni makaratasi na wanaojua hilo hawayajali bali wanakuomba CV wakujue alafu unaitwa kuitetea CV yako na ukiitetea hakuna wa kukuuliza vyeti ajira moja kwa moja lakini ukishindwa kuitetea CV nani akutume vyeti?

mfumo wa vyeti ni mifumo ya kata ndugu yangu, kama una unajivunia vyeti lakini maarifa hakuna kweli lazima upinge kubadilisha mifumo maana tukienda kwenye kuajiri kwa kutumia ujuzi na sio vyeti na wajomba ndugu yangu mambo sijui yatakuwaje.

Ondoa uongo wako wewe, kama ni vyeti kwanini ulifeli afu unakuja humu kudanganya watu? Kama sio vyeti nenda kaombe kazi bila hivo vyeti afu uone kama utapata hiyo kazi, labda upate ya kuzibua vyoo na kufagia ambayo hata haitaji vyeti.
 
unachekesha ndugu yangu

wewe unaongelea mifumo ya ulimwengu wa tatu!

katika ulimwengu wa kwanza ndugu yangu vyeti havina maana bali CV yako na wewe kuitetea CV yako.

vyeti ni makaratasi na wanaojua hilo hawayajali bali wanakuomba CV wakujue alafu unaitwa kuitetea CV yako na ukiitetea hakuna wa kukuuliza vyeti ajira moja kwa moja lakini ukishindwa kuitetea CV nani akutume vyeti?

mfumo wa vyeti ni mifumo ya kata ndugu yangu, kama una unajivunia vyeti lakini maarifa hakuna kweli lazima upinge kubadilisha mifumo maana tukienda kwenye kuajiri kwa kutumia ujuzi na sio vyeti na wajomba ndugu yangu mambo sijui yatakuwaje.


EGO kapumzike bana unaendelea kujaza saver na povu zako!!!!
 
Back
Top Bottom