Alosto
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 366
- 352
Mi kila nikiingia humu naanzaga na jukwaa la nafasi za kazi ili nione kama nitabahatika kupata kazi
Halafu naenda jukwaa la matangazo madogo madogo ili nione vitu vinavyopigwa mnada ninunue kwa bei rahisi
Jukwaa la mwisho jukwaa la chitchat ili kupiga soga za hapa na pale.
Halafu naenda jukwaa la matangazo madogo madogo ili nione vitu vinavyopigwa mnada ninunue kwa bei rahisi
Jukwaa la mwisho jukwaa la chitchat ili kupiga soga za hapa na pale.