menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 670
Wakuu,
Waswahili wanasema tembea uone! Katika pitapita zangu kama vlogger huku Arusha nimekutana na majumba ya kifahari, viwanja vya Golf, mito ya maji safi, wanyama mbalimbali na makazi yenye ubora wa hali ya juu vyote vikiwa ndani ya pori! Yaani wakati tunabanana hapo mwananyamala na Manzese huku Arusha kuna watu wanaishi kwenye pori kwa kujinafasi huku wakila fresh Air na kupishana na wanyama wa kila aina.
Makazi haya ni mfano mzuri wa kuigwa kwamba hatuhitaji kufyeka miji yetu ili kupata eneo la makazi.
Sema kikubwa kilicho nisikitisha ni kuwa aslimia 90% ya wakazi wa eneo hili ni wazungu tupu!
Jioni utawaona wakiteremka kutoka kwenye majumba yao kwenda kucheza Golf. Wamatumbi wenzangu ni wakuhesabu.
Waswahili wanasema tembea uone! Katika pitapita zangu kama vlogger huku Arusha nimekutana na majumba ya kifahari, viwanja vya Golf, mito ya maji safi, wanyama mbalimbali na makazi yenye ubora wa hali ya juu vyote vikiwa ndani ya pori! Yaani wakati tunabanana hapo mwananyamala na Manzese huku Arusha kuna watu wanaishi kwenye pori kwa kujinafasi huku wakila fresh Air na kupishana na wanyama wa kila aina.
Makazi haya ni mfano mzuri wa kuigwa kwamba hatuhitaji kufyeka miji yetu ili kupata eneo la makazi.
Sema kikubwa kilicho nisikitisha ni kuwa aslimia 90% ya wakazi wa eneo hili ni wazungu tupu!
Jioni utawaona wakiteremka kutoka kwenye majumba yao kwenda kucheza Golf. Wamatumbi wenzangu ni wakuhesabu.