Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho hukumu ita acha historia nzuri au doa chafu katika mahakama zetu na weledi wa majaji wetu ,Mbowe sio gaidi
Walete daftari la kusaini ukiingia kazini kudhibitisha uwepo wa msemwa kazini tarehe tajwa
Mungu huyu!Kesho Inshallah, mawakili wasomi watawasilisha majumuisho yao mbele ya Jaji Tiganga.
Msingi wa kinyang'anyiro bila shaka utakuwa katika uhalali wa Detention Registers (DR). Moja kutokea Central Police Dar na nyingine kutokea kituo cha Polisi Tazara.
Hiyo walshairuka kwa msaada wa Jaji kwa kuikataa barua ya Lingwenya isipokelewe kama kielelezo
Maamuzi ya kesi ndogo ni tr 14 December. Kesho/leo ni kukabidhi majumuisho ya dodoso kutoka kwa mawakili juu ya hiyo kesi ndogo.Hiyo kesho ndiyo maamuzi (hukumu) ya kesi kubwa yatafanyika? Au bado ni kesi ndogo ndani ya kesi kubwa?
Mwenzenu sielewi kitu
Hukumu au maamuzi ya kesi ndogo siyo kesho (leo), ni tr 14. Lesho ni kukabidhi majumuisho ya dodoso kutoka kwa mawakili wa pande zote mbili.Kesho hukumu ita acha historia nzuri au doa chafu katika mahakama zetu na weledi wa majaji wetu ,Mbowe sio gaidi
Toka lini hakimu wa mahakama wa mwanzo akapewa ujudge,jaji elimu hana plus kupewa maelekezo na jopo la bibi tozo kua amfunge mbowe...hii kesi inaendeshwa na mcherengwa,siro,diwani kesi yote mashahidi ni police,uliona wapi hiliSitegemei la maana kutoka kwa jaji wa michongo.
Jumba bovu linaenda kumwangukia Jaji MchongoToka lini hakimu wa mahakama wa mwanzo akapewa ujudge,jaji elimu hana plus kupewa maelekezo na jopo la bibi tozo kua amfunge mbowe...hii kesi inaendeshwa na mcherengwa,siro,diwani kesi yote mashahidi ni police,uliona wapi hili
Huyu jaji wa michongo hata elimu yake ni utata,yani anamuomba kingai msamaha...uliona wapi judge anaomba msamaha kwa shahidi wa mchongoJumba bovu linaenda kumwangukia Jaji Mchongo
Huyo Kingai ameshaingia kwenye book jeusi asubiri yatokanayo serikali ni yawote kiti ni mudaHuyu jaji wa michongo hata elimu yake ni utata,yani anamuomba kingai msamaha...uliona wapi judge anaomba msamaha kwa shahidi wa mchongo
hivi haki unayoitegemea ndugu hapani kama ipi maana naona kama una jibu tayari kuwa akiamua hivi tu hajatenda haki na akiamuahivi katenda haki?Jaji na kikundi chake atambue kuwa tumeshamshtakia kwa Mungu kama hatotenda haki
chadema wamekubali maana wao waliema hawatakiKunataarifa Raisi Samia kukutana na vyama vya siasa Dodoma tarehe 16Desember
Imekaaje Wajuvi?
Sitegemei la maana kutoka kwa jaji wa michongo.