hahaaaa!.........
Sasa baada ya kutimuliwa mithili ya nyau aliyekunywa maziwa ya mtoto njiti, hali yake ni tete mno! Walio karibu naye wanasimulia jinsi alivyokumbwa na msongo wa mawazo.
Ukisoma vizuri maandiko matakatifu utaelewa kwamba hata siku moja Mungu hataniwi, huyu akifahamu kwamba CCM ndiye adui wa wateja wa bidhaa zake akaamua kuungana nayo kitu kilichosababisha kifo chake kisiasa na kiuchumi.
Pole dada.
Soma zaidi hapa; Mwenyekiti UVCCM, Kheri James ametengua Uteuzi wa Kaimu Katibu Idara ya Uhamasishaji, Jokate Mwegelo
njia iliyotumika kumtimua haikuwa ya kiungwana kabisa !hahaaaa!
watu mna vijimaneno!
je hajatimuliwa ? halafu unawezaje kuaibika kwa kuandika ukweli ?Tunzeni akiba ya maneno.
We mtoa mada siku moja utaaibika sana na kiherehere chako kama mtetea.
Sio KARAI huyu?N changamoto za muda
Kila mmoja Ana pitia za kwake.
Hata wew unazo za kwako pia
Ni Kingwendulilekama Majuto ni mjukuu Kingwendo naye ni nani????
Acha kumpendelea !!Expired
mwanae wa dar au waweza kumuita Naibu Rais wa JMT.Ata nape alikomaaaa watu wakashinda lakn badae mbele ya media kanyooshewa bastola [emoji1][emoji1][emoji1]ccm ya wawili mkulu na mwanawe wa dar
Duhmtashangaa anachaguliwa tena sehemu nyingine
Tunzeni akiba ya maneno.
We mtoa mada siku moja utaaibika sana na kiherehere chako kama mtetea.
We jamaa weweTunzeni akiba ya maneno.
We mtoa mada siku moja utaaibika sana na kiherehere chako kama mtetea.
Hatimaye utabiri umetimia...ulikuwa na Maono ya mbali mkuu...inawezekana uliongea kama masikhara lkn kauli yako nazani malaika wema walipita wakati unaandika na ikapokelewa kama ilivyo...she is DC now at Kisarawe District.Plus,Diamond, original comedy,dr shika,Anton Diallo,Mange,Shigongo,Marlow mzee wa pii..pii.bongo movies,nk walishatumika na ccmiz wakabwagwa.Hivo awe mpole,watamkumbuka hata ukuu wa wilaya asife moyo.