Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

Bila Picha za sampuli, huu uzi ni Unafiki na kupotezeana muda
 
You are a free man, so you may disagree our fact.
Sent using Jamii Forums mobile app
 



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo list bado kabisa mkuu...list hakuna wachaga bado sana..alafu kuna makabila umeeka apo hayastahili kuwepo..kama uzuri unaangalia rangi sawa.. Ila kama unaanglia sector zote mchaga yupo top 3...
Hebu acheni vituko basi! Eti wachaga! Kwa hayo mashepu yao namba 9?? Au unafikiri kila mweupe ni mzuri??[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…