Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akileta picha nitag bossLete picha tumuone. Sio unatuletea maneno tu
Ninakuelewa mkuu, niliwahi kutoka na mmoja wapo, na wengi wao ninaowajua they are a really thing!
Mkuu wengi humu wanafanya tathmini kwa kuangalia ability ya kabila lake jambo ambalo sio Sawa mkuumleta uzi ni kabila gani?maana naona unaandika upupu humu ndani halafu unakuwa mkali.....kila mmoja wetu ana vigezo vya kumtathmini mwanamke
yani mhaya anampiga GEP mnyaturu...dogo tembea uone bado hujui mambo...
usifanye research ya ma classmate wako ukaona ndo umemaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo list bado kabisa mkuu...list hakuna wachaga bado sana..alafu kuna makabila umeeka apo hayastahili kuwepo..kama uzuri unaangalia rangi sawa.. Ila kama unaanglia sector zote mchaga yupo top 3...
Takwimu FAKE MKUU,,,,msichana yeyote mzuri anafata kwa WAZAZI WAKE...kama MMEOANA MAGARI YA JESHI MATUPU,,,unazani mtoto atatoka na SURA YA BEYONCE?hakuna KABILA LENYE WANAWAKE WAZURI,,,zaidi ya kufanya uchaguzi sahihi ktk kuchaguwa mwenza,,ili upate watoto wazuri
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe hadi wa kubahatisha, bas kama ni hivo kila kabila usiombe ukutane na toto linalotisha ktk kabla hilo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila Picha za sampuli, huu uzi ni Unafiki na kupotezeana muda
Hebu Leo tupate new update za kumi bora ya makabila yenye wanawake wazuri tanzania.
1. Wahiraki, hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho.
2. Warangi, hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa
3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu
4. wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha
5. wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba.
6. wanyaturu, hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia
7. Wapare, hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri.
8 .wamakonde, hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kabila lenye wanawake wazuri Sana hususani maumbo Yao na shape za kuvutia
9. Wasambaa, Kwanza weupe wanawake kitanga wamezagaa Sana tanga mjini
10. wanyakyusa moja kwa moja twende mbeya hawa wanawake wengi wao ni weusi lakini sura zao nzuri Sana black beauty
Nb: mliooa kazi kwenu sijuhi uko namba ngapi hapo mchana mwema
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu acheni vituko basi! Eti wachaga! Kwa hayo mashepu yao namba 9?? Au unafikiri kila mweupe ni mzuri??[emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo list bado kabisa mkuu...list hakuna wachaga bado sana..alafu kuna makabila umeeka apo hayastahili kuwepo..kama uzuri unaangalia rangi sawa.. Ila kama unaanglia sector zote mchaga yupo top 3...
Mkuu unayumba! Kuna Same na Kilimanjaro?? Kwani Same iko wapi??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]W
Wapare ni wapare na wachaga ni wachaga..they are 2 different things... Ndo maana kuna same na Kilimanjaro
Nimesikitika sana kabila la mke wangu mpenzi halipo!
Pole....subiri mangumiMke wangu mnyakyusa miksa mgogo hatar sana toto la kinyakyusa hili black beauty @no 10
Sent using Jamii Forums mobile app