Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]dah ngoja nifanye ziara ya kushtukiza huko manyara.
ila wanyamwezi na wanyakyusa sio kweli ni wabaya kupindukia
Hii nayo imetuliaKuna wanawake wa baadhi ya makabila hawajawahi kunikataa, hata nikiwatongoza kimoyomiyo
Hahahahah umenikumbusha ndugu zangu wambulu wale mi nikikutana nao macho tu tayari ndio mtongozo tosha sijui ni mimi tu 🙂Kuna wanawake wa baadhi ya makabila hawajawahi kunikataa, hata nikiwatongoza kimoyomiyo
Da Vinc mwanamke wako ni mrangi?nakusikitikia sanaHamidaaaaaaaa wangu I miss you Cheupee wa kirangii
2months now we falled apart..Da Vinc mwanamke wako ni mrangi?nakusikitikia sana
Unamsikitikia kwa lipi? Kwani warangi tuna kasoro gani?Da Vinc mwanamke wako ni mrangi?nakusikitikia sana
afadhali2months now we falled apart..
Imebaki kumbukumbu kua nilikua na mrangi..
Kwanini unasema hvo? Naomba elimu tafadhar amu...afadhali
Hao ni miongoni mwa victims wanguHahahahah umenikumbusha ndugu zangu wambulu wale mi nikikutana nao macho tu tayari ndio mtongozo tosha sijui ni mimi tu 🙂
mmmh ama kweli nyani haoni kundyule oaneni wenyewe kwa wenyewe tuUnamsikitikia kwa lipi? Kwani warangi tuna kasoro gani?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] singidanian finest[emoji3]Kuna wanawake wa baadhi ya makabila hawajawahi kunikataa, hata nikiwatongoza kimoyomiyo
Wanyakyusa wabaya kupindukia?? Kwa hiyo unapingana na utafiti?dah ngoja nifanye ziara ya kushtukiza huko manyara.
ila wanyamwezi na wanyakyusa sio kweli ni wabaya kupindukia