amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Yaani mimi niwaonee wivu warangi?Acheni wivu bhana.., ahahhah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mimi niwaonee wivu warangi?Acheni wivu bhana.., ahahhah
Puuza huu uzushi, sio kweli!
Namba 7 hapana
😂😂😂😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuona muimba kwaya.
Kweli ai kanti yu.Watu na sauti zetu za nne teh
Nashangaa Wapangwa hawapo.kwanini?.Unawaacha Wahangaza, wambulu(wairaqw), wapemba, waasi.....unaweka wasukuma, wanyakyusa, wapare....huu utafit wa kupika aisee!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi sijaona kwani kasemaje
Wazuri wa sura au tabia? Fafanua mkuu1.Warangi
2.Wanyaturu
3.Wameru
4.Wamasai
5.Wasukuma
6.Wachagga
7.Wahaya
8.Wanyamwenzi
9.Wapare
10.Wanyakysa