Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] my ribs..kwamba Taifa linapoteza muda na rasilimali za nchi[emoji23][emoji23][emoji23]

Ujue kuna muda unapenda vitu simple simple bcz utafutaji pesa unachukua muda mwingi.... ila utamu tunapenda... na pesa inatoka.....


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nipo huku usukumani.

Kama wasukuma hawapo katka hio top ten basi taarifa yako ni fake fake kabisa
 
Wahaya ni wazuri hahahahaha uwii ,nipe mfano hata mmoja basi ,ukisema wairaki nadhani ni East Africa kabisa
 
Nipo mbeya soweto muda huu naendelea kufatilia utafiti lakini kadri muda unavyo yoyoma naona mbeya hakuna kitu hasa hasa wana vitambi wengi
Anyway ngoja niendelee na mizunguko
 
Back
Top Bottom