kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Trekitaβ¦.Sisi Wakinga vipi?
Haahaaaa, Nyie mkiingia kariakoo mkaotea chimbo na likatema mnakimbilia Audi A4 au bmw sedan, au zile benz E240 then mnaanza kutusumbua mafundi kila kukichaSisi Wakinga vipi?
Hawa umewaonea. Kuna murano na dualis nyingi sana af wanaendesha wadada
wakinga kwenye matumizi huwa mnaniacha hoi, si ajabu kukuta mnatembelea toyo za kubebea mizigoSisi Wakinga vipi?
Nimetype tusi lkn nikafuta. Anyway acha mazoea ya kipuuzi.kakojoe ulale, kesho shule
Wamakonde = RangeRoverππ π πHawa umewaonea. Kuna murano na dualis nyingi sana af wanaendesha wadada
Haaahaa ngoja wajeKuna kabila zinatumia ungo. Sijasema Wafipa lakini.
Jamaa ana range mbili aiseeWamakonde = RangeRoverππ π π
inapendeza
π hapo kwa wahaya sawa sana, nna mifano vividMie naanza na hawa.
Wasukuma = Klugger na Harrier
Wachaga = Rav4 na Prado.
Wahaya = Rav4
Wamakonde = RangeRoverπ (Wakimuiga ndugu yao Konde Boy)
Wengine jazieni
PradoSisi Wakinga vipi?