macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Da. Nilisikia mhenga mmoja akisema kuwa kama una mwanamke wa kingoni muamini kwenye fedha lakini kwenye hayo mambo usimwamini hata kidogo. Ila bado tu Tanzania ni makabila mengi yanatajwa kuwa wanawake wake wanatoa kirahisi mpaka mtu unachanganyikiwa ni wapi wako nafuu. Singida utasikia hao ni balaa yaani wanyaturu. NB: kuna kabila ya wanyiramba hao kweli ni viwembe. Wagogo, warangi nao utasikia ni gawagawa. Iringa utasikia ''niangusage sambi sako bee, chupi anayo dada kaenda masine kusaga, zamu yake kuvaa leo''. Wazarano nao duu. Wanawake wa Tanga nao... yaani kila mkoa.Mbona wangoni wapo na hatuwasemi tumetulia na kuwastahi🤣
Eeeh wifi labda anunue hilo nitajitahidi,ila isiwe mazoea humo ndani😁mara moja moja bwana kaka nae ale vyanyumbani,kuna pressure cooker nitamwambia kaka akununulie
Nakadori alitembea na mjomba ake na yeye mwenyewe alieleze jins alivyo liwa kimasiara na mjomba akeNgoja nijaribu kwa Nakadori nitaleta mrejesho
[emoji854][emoji846][emoji846][emoji846][emoji854][emoji854]Kama umeoa Mpare huna mke ni mke wa watu wote!
Mbona wamakonde na wamakua umewasahau"umepewa bure kumnyima ntu njambi!Da. Nilisikia mhenga mmoja akisema kuwa kama una mwanamke wa kingoni muamini kwenye fedha lakini kwenye hayo mambo usimwamini hata kidogo. Ila bado tu Tanzania ni makabila mengi yanatajwa kuwa wanawake wake wanatoa kirahisi mpaka mtu unachanganyikiwa ni wapi wako nafuu. Singida utasikia hao ni balaa yaani wanyaturu. NB: kuna kabila ya wanyiramba hao kweli ni viwembe. Wagogo, warangi nao utasikia ni gawagawa. Iringa utasikia ''niangusage sambi sako bee, chupi anayo dada kaenda masine kusaga, zamu yake kuvaa leo''. Wazarano nao duu. Wanawake wa Tanga nao... yaani kila mkoa.
Nilitaka kushanga wamesaulikaje kwenye hiloMmesahau kipengele cha ushirikina,ni washirikina sijapata ona.
Aisee. Nimecheka sana. Hiyo mbiu kauli yao nilikuwa siijui.Mbona wamakonde na wamakua umewasahau"umepewa bure kumnyima ntu njambi?
Kwema Wakuu!
Acheni wivu! Yaani mkiona Watu wamebarikiwa jambo fulani roho mbaya zenu mbaya hazitulii. Wivu na maumivu moyoni yanawachoma. Mnaanza kuropoka mashudu yenu.
Mkiona mdada mzuri tuu mnaanza kumpa majina Mabaya. Kisa anatongozwa na Wanaume wengi. Utajiri wa mvuto wa kisura na kimaumbile haihusiani na tabia ya umalaya.
Makabila yenye wanawake wazuri hapa Tanzania imekuwa kawaida kuwahusisha na Umalaya lakini ukichunguza vizuri unakuja kugundua ni Wivu tuu. Kwa mfano Makabila kama Wambulu(Wairaq), Wanyaturu na ndugu zao Wanyiramba, Warangi wote hao ni makabila yènye wanawake wazuri na wanahusishwa na Umalaya jambo ambalo sio Kweli.
Wanawake wa Wapare wapo top five ya wanawake wazuri hapa Bongo, na Kwa wanaume wao wapo top 3 ya wanaume wazuri hapa Tanzania. Hiyo ukubali au ukatae. Upareni kukutana na Handsome boy sio jambo la kushangaza kwa sababu wapo wengi. Kukutana na Wanawake wazuri sio suala la ajabu.
Tabia hiyo pia ya roho mbaya imehamishwa kwenye mambo ya kiuchumi. Makabila yenye Mafanikio ya kiuchumi kama Wachagga, Wakinga, au Wapemba hupewa majina Mabaya kama wizi, ujambazi, ufisadi na uchawi. Acheni wivu.
Huwezi kuoa mke mzuri asitongozwe na wanaume. Kwa sababu wanaume wanapenda wanawake wazuri. Wewe kama kipimo cha kutotongozwa kwa mkeo ndio kutokuwa malaya basi elewa kuwa mkeo hana mvuto, sio mzuri na hana la maana.
Upande wa pili, huwezi kuwa na Mwanaume Handsome boy au mwenye uchumi alafu wanawake wenzako wasimsarandie. Haipo hivyo. Ukiona mumeo yupoyupo tuu na hakuna Mwanamke hata mmoja anayemtaka ujue hapo hakuna kitu. Umepoteza.
Wanawake wa kipare wanajiamini, hawataki kuonewa, hawataki unyanyasaji wa kijinsia kwa Jina la Mfumo dume, wapo radhi wabadilishe wanaume hata elfu moja ikiwa tuu wanapata Wanaume Mabwege wasiojitambua.
Wanawake wa kipare au kichaga, kama unapenda kwenu lazima upende na Kwao. Kuhusu ufupi nyundo ni sifa yao pia, lakini pia wapo Warefu hasa wanaôtokea Upareni kaskazini maeneo ya Mwanga.
Wapare kwa ujumla sio Watu wa kusikiliza maneno ya Watu Wajinga na watu wasiojiamini au wenye roho za chuki kisa tumewazidi mambo nyeti ambayo hayanunuliwi kwa pesa.
Povu Rukhsa!
Falla wewe😂😂😂Mbona wamakonde na wamakua umewasahau"umepewa bure kumnyima ntu njambi!
🤣🤣🤣Ndio hivyo hawataki dhambi ndogondogo za uchoyoAisee. Nimecheka sana. Hiyo mbiu kauli yao nilikuwa siijui.
Ya Nini ukachomwe Kwa dhambi ya uchoyo 😁Falla wewe😂😂😂
Wapare kwa vile wananipenda, nawapenda pia😂Muaçhe dada zetu
Sawa sasa tuelekeze tu namna ya kuipata hiyo nusu 🤷Wewe angalia Wapare kumi unaowajua hata superstar au hapo mtaani.
5 Wazuri (Handsome boys na Cute girls)
2½ Wakawaida
2½ Hawana mvuto
Huku wangoni(walivyo watam sasa🤣), kule wanyaturu, warangi, wagogo na wanyiramba..ukienda kwa wairaqw ndio usiseme!!Da. Nilisikia mhenga mmoja akisema kuwa kama una mwanamke wa kingoni muamini kwenye fedha lakini kwenye hayo mambo usimwamini hata kidogo. Ila bado tu Tanzania ni makabila mengi yanatajwa kuwa wanawake wake wanatoa kirahisi mpaka mtu unachanganyikiwa ni wapi wako nafuu. Singida utasikia hao ni balaa yaani wanyaturu. NB: kuna kabila ya wanyiramba hao kweli ni viwembe. Wagogo, warangi nao utasikia ni gawagawa. Iringa utasikia ''niangusage sambi sako bee, chupi anayo dada kaenda masine kusaga, zamu yake kuvaa leo''. Wazarano nao duu. Wanawake wa Tanga nao... yaani kila mkoa.
Lakini chakula watakunyimaYa Nini ukachomwe Kwa dhambi ya uchoyo 😁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi ni shoka kila ofisi naingiaVipi upo kitengo cha tamaduni nini?
Sijajua sasaLakini chakula watakunyima
BAhati mbaya hata huwafaidi😂😂Huwezi kuwa mzuri ukawafikia dada zangu🤣