Makabila mengi yenye wanawake wazuri kama Wapare wanapewa sifa ya kuwa malaya kwasababu ya wivu wa kijinga


Uliwahi kupigwa ukachakaa mkuu?
Nakuuliza tuu
 
Mm sijawahi kusikia kuhusu Wapare kuwa Malaya.Labda Kwa hayo Makabila mengine uliyoyataja.Wapare wakati ninakua nilisikia kuwa ni bahiri Sana.Wanakula makande week mzima pia ni wakorofi wakorofi.[emoji3526][emoji3526]
Mimi ni Mkinga OG.
Nimeoa Uchaggani
Nategemea mchagga aniongezee maujuzi ya kiuchumi nikichanganya na haya ya Kikinga[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ni mpare sifa kuu nyingine ya wapare ni akili kubwa maarifa busara hekima na pesa. Sijataja sifa nyingine kubwa aliyotupa hayati JK nyerere hard working people.

Ngoja Watani waje hapa, watakataa kwa sababu wao wametuzidi ujasiri na uthubutu
 

Vizuri
 
sasa tufanye hivi, ambao wanatetea dada zao sio malaya, wakati wamezalia nyumbani, umeoa mkeo hukumkuta na bikra, tupo mbio kuja kudhibitisha kama dada zenu wapo salama ili tupate ujiko🤏😎
 



Ni kweli hata wanaume wa kipare ni hivyo hivyo.

Hata wakioana mwanamke anachepukia huku Mwanaume kule.

Tena hata wakiwa kwenye umri wa utu uzima hadi uzeeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…