Makabila wanayokula karibu wananyama wote nchini

Makabila wanayokula karibu wananyama wote nchini

Mel James

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
356
Reaction score
290
Naanza na mmakonde hawa jamaa ni kama Wachina Tu hawali Kinyonga tu hicho kimewashinda. Ila Mzoga wowote akiokota lazima uingie tumboni.

Wahadzabe, hawa jamaa ni hatari porini hadi nyoka akiwaona anatafuta shimo la kuingia hawaachi kitu.

Wasafwa wa Mbeya wanakula karibu kila nyama ila kwa siri. Wanapenda sana nyama na pombe.


 
Hahaa wamakonde watani zangu!
umesema wanakula mpaka mizoga?!
 
Back
Top Bottom