Mel James JF-Expert Member Joined Jun 23, 2015 Posts 356 Reaction score 290 Sep 24, 2024 #1 Naanza na mmakonde hawa jamaa ni kama Wachina Tu hawali Kinyonga tu hicho kimewashinda. Ila Mzoga wowote akiokota lazima uingie tumboni. Wahadzabe, hawa jamaa ni hatari porini hadi nyoka akiwaona anatafuta shimo la kuingia hawaachi kitu. Wasafwa wa Mbeya wanakula karibu kila nyama ila kwa siri. Wanapenda sana nyama na pombe. Your browser is not able to display this video.
Naanza na mmakonde hawa jamaa ni kama Wachina Tu hawali Kinyonga tu hicho kimewashinda. Ila Mzoga wowote akiokota lazima uingie tumboni. Wahadzabe, hawa jamaa ni hatari porini hadi nyoka akiwaona anatafuta shimo la kuingia hawaachi kitu. Wasafwa wa Mbeya wanakula karibu kila nyama ila kwa siri. Wanapenda sana nyama na pombe. Your browser is not able to display this video.
BLACKTIGER JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 1,568 Reaction score 1,923 Sep 24, 2024 #2 Hahaa wamakonde watani zangu! umesema wanakula mpaka mizoga?!
Gautten Potten JF-Expert Member Joined Aug 22, 2022 Posts 1,642 Reaction score 3,426 Sep 24, 2024 #3 ChoiceVariable
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 Sep 24, 2024 #4 Duhhhh! Hatari sana asee kuna wanyama sio wa kuchezea kabisa Cc Smart911