Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

You have made my day gwe nyambala ugwe. That's my ipso facto history, really it is hard to find a true history of the same, but, though little, I give 99 plus per cent. Gundunile kanunu fijo. Stay blessed na kweli jf inatia moyo.
 
interesting...
Khantwe njoo huku uniambie asili yako ni ipi mama!
 
Last edited by a moderator:
Wakuu nimekaa na wameru kimeru kinafanana mno na kimachame kwa asilimia 98% nauliza je wameru ni wachaga?majibu please
 
Wameru wametokea uchagan mwanzo walikua wachaga wote kuna baadh ya koo tunashare na wachaga
 
Truly asili ya wameru ni wachaga na pia kuna story ndefu inayoelexea ukwel huo ipo Google
 
Kila baada ya dakika chache kuna post zinatuhusu humu. Imekuwa kero aisee... Moderators mpo?
 
Wakuu nimekaa na wameru kimeru kinafanana mno na kimachame kwa asilimia 98% nauliza je wameru ni wachaga?majibu please

Subiri kwanza warudi krismas ndo watakujibu, hawa wangine walobaki ni wazaramo tu watakudanganya
 
Wameru ni wachaga pia. Kuna makundi kazaa ya wachaga ambayo ni warombo, wamarangu, wakibosho, wamachame, wauru na wameru.
 
yeah wameru ni wachaga waliopo arusha, kimeru kinafanana na kirombo, kimarangu, kimachame n.k
 
Ndio bosi kama kina urio wapo wachaga na wameru
 
Nina swali pia.Hivi hao wameru watz na wameru wa huku Kenya wanoshi sehemu za mlima Kenya wana uhusiano?Wameru wanielimishe tafadhali.
 
Wamefanana mambo mengi jografia,luga,kilimo,utamaduni,desturi pia wameru ni wachapakazi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…