Makabila yanayoongoza kwa ubishi Tanzania

Makabila yanayoongoza kwa ubishi Tanzania

101 East

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2015
Posts
1,057
Reaction score
2,221
Leo nimejua Kwanini waha ni wabishi sana, sababu ni hii safari ya kutoka kigoma mpaka Dar huwachukua almost siku tatu kwa Train hivyo wataalam wanasema hawa mabwana hupiga story kwenye train mpaka zinaisha Wakifika tabora basi anatokea mmoja anaanzisha UBISHI basi watabishana kutoka tabora mpaka DAR ndani ya siku mbili.

Na hii ndio sababu waha ni wabishi [emoji1787][emoji1787]
Kama kuna makabila mengine ongezea hapo chini
 
Kuna waha waliomba mechi ya mpira
Wa miguu kijiji cha jirani
Basi wakaandika barua wakakubaliwa
Mechi ikapangwa siku ya kuchezwa

Ilivofika siku ya mechi, mpira ukaanza
Kuchezwa, ukachezwa mpaka dakika za
80 bado bilabila

Ikatokea kona, jamaa akaenda kupiga
Kona mshambuliaji akaunganisha na kichwa ikawa goli, timu pinzani waligoma katakata kuwa lile sio goli

Kwanini kafungia kichwa wakati barua ilisema mpira wa miguu?
 
Leo nimejua Kwanini waha ni wabishi sana, sababu ni hii safari ya kutoka kigoma mpaka Dar huwachukua almost siku tatu kwa Train hivyo wataalam wanasema hawa mabwana hupiga story kwenye train mpaka zinaisha Wakifika tabora basi anatokea mmoja anaanzisha UBISHI basi watabishana kutoka tabora mpaka DAR ndani ya siku mbili.

Na hii ndio sababu waha ni wabishi [emoji1787][emoji1787]
Kama kuna mengine ongezea hapo chini
🤗🤗🤗
 
Back
Top Bottom