Makabila yanayoongoza kwa ubishi Tanzania

Makabila yanayoongoza kwa ubishi Tanzania

Muha anaweza kubisha mpaka akichoka anamtafuta rafiki au ndugu anamuachia ubishi wake ataukuta tena baadae.Namakee ,namahoro.
 
Huyu mgeni aliyetutembelea toka kigoma ndo maana anaongea sana utadhani analala kwake
 
Ubishane na mkinga awe mrefu kidogo, then ukutane naye kwenye bus anakujankujumua vitu.
Anaweza akakuelzea dp world from njia za ihovu mpaka Stendi ya msamvu
 
Leo nimejua Kwanini waha ni wabishi sana, sababu ni hii safari ya kutoka kigoma mpaka Dar huwachukua almost siku tatu kwa Train hivyo wataalam wanasema hawa mabwana hupiga story kwenye train mpaka zinaisha Wakifika tabora basi anatokea mmoja anaanzisha UBISHI basi watabishana kutoka tabora mpaka DAR ndani ya siku mbili.

Na hii ndio sababu waha ni wabishi [emoji1787][emoji1787]
Kama kuna makabila mengine ongezea hapo chini
Niliwahi kusafiri nao cha ajabu wanabishana kuwa treni haiwezi kutumia siku 3, kigoma-dar. Yaani walibishana hadi nashuka mabishano hayaonekani yanaisha lini na namna gani
 
Back
Top Bottom