We mtu wa ine anasema hivyo.
Khaaa jamani π wanyaturu tumefanyaje tena?Waha wabishi sana, wanafuatiwa na wanyaturu
Kumbe hao nao ni kabila?Wamwera
Umbwa kasoro mkia,siyo weweWaha wabishi sana, wanafuatiwa na wanyaturu
π€π€π€Leo nimejua Kwanini waha ni wabishi sana, sababu ni hii safari ya kutoka kigoma mpaka Dar huwachukua almost siku tatu kwa Train hivyo wataalam wanasema hawa mabwana hupiga story kwenye train mpaka zinaisha Wakifika tabora basi anatokea mmoja anaanzisha UBISHI basi watabishana kutoka tabora mpaka DAR ndani ya siku mbili.
Na hii ndio sababu waha ni wabishi [emoji1787][emoji1787]
Kama kuna mengine ongezea hapo chini