Makabila yenye lafudhi nzuri, mbaya na zinazochekesha?

Tanga line na Zenji wana lafudhi murua sana waweza kuwatoa nyoka pangoni, lakini wawe mademu, akiwa dume anaonekana bwabwa
 
Mimi nimemsikia bob Ludalah kwenye wimbo wake wa Julli anamalizaga kwa kusema "UCHICHIMAME WALA UCHIKAKE" ila wanashindwa kutofautisha kati ya si na chi kimatamshi.
Tanga oyeee[emoji5] [emoji5] [emoji5]
 
mm napenda lugha zote za Tanzania
lafudhi zao
pia zinanichekesha zote
pia nazipenda zote..[emoji7]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…