NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Serikali ipitishe Sheria ya ku etract madini kwenye maiti Kwa kutumia technology ya kisasa kama marekni yaani maiti inaingizwa kwenye furnace inachomwa kwa temperature ya juu halafu unapata Alma's,dhahabu,na madini mengine !!wanafamilia wanapata mgao was urithi!!!Habari ndugu,
Mara kadhaa nimekuwa nikipita jirani na makaburi haya maarufu jijijini. Nikitazama ninaona eneo ni finyu. Tangu nimelijua jiji, ni miaka karibu arobaini kasoro sasa. Kila kukicha ninasikia watu wakizikwa Kisutu. Je, eneo hilo huwa halijai?
Wale wajuvi na wandewa ninaomba majibu.
Shukrani
Yatajaa vipi na watu na bills za kulipa? Mjini mipangoHabari ndugu,
Mara kadhaa nimekuwa nikipita jirani na makaburi haya maarufu jijijini. Nikitazama ninaona eneo ni finyu. Tangu nimelijua jiji, ni miaka karibu arobaini kasoro sasa. Kila kukicha ninasikia watu wakizikwa Kisutu. Je, eneo hilo huwa halijai?
Wale wajuvi na wandewa ninaomba majibu.
Shukrani
Wewe utakubali kuanza maisha mapya nje ya jiji! Au unasema tu.Aisee, sasa ninajiuliza, kwani tumekosa pa kuzikia? Mbona nje kidogo tu ya miji yetu ardhi kibao tu. Huenda serikali na raia hatujaona kama hili ni tatizo.
Akili ndogo hizi,idadi ya watu wa zamani na sasa ni sawa?Siyo kisutu tu ardhi yote hii imejaa wafu kwahy jiulize watu wa zamani makaburi yao yako wapi?
Dunia haijaumbwa leo na watu hawajaanza kufa leo!
Usishangae unalala juu ya makaburi ya wapendwa wetu wa zamani.
Watanzania wengi tumekwama kimawazo. Hatuhoji, hatufikiri, hatuwi wabunifu tupo tu.Aisee, sasa ninajiuliza, kwani tumekosa pa kuzikia? Mbona nje kidogo tu ya miji yetu ardhi kibao tu. Huenda serikali na raia hatujaona kama hili ni tatizo.
Endelea kubishana na ukweli.Akili ndogo hizi,idadi ya watu wa zamani na sasa ni sawa?
Mimi si wa jijini. Huko mnazikana wazee wa kupaka ndimu kwenye mahindi ya kuchomwa😅😅✋Siku ukifa ndio utajua yamejaa au laa kufa kwanza
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app