Hawa jamaa Makachu divers wamejizolea sifa nyingi zanziber lakini ghafla serikali ya zanziber imesitisha huu mchezo. Ila nasikia wamehamia coco beach.
Kabla ya kuruhusu huu mchezo ni bora kuangalia yaliyosababisha ukafungiwa zanziber yasijejitokeza na huku. Pili huu mchezo ni kama hatarishi kwani mtu asiyekuwa na ujuzi wa kuogelea anaweza zama na kupoteza maisha
Tatu, upo uwezekano waovu wanaojulikana kama beach boys wakautumia vibaya na kuleta taharuki kwenye jamii.
Nne, ni vyema kila jambo linalofanyika nchini lifanyike kwa uratibu ili kulinda usalama na maudhui ya watu, huu mchezo huchezwa huku wakijirekodi na kurusha mitandaoni, ni vyema maudhui haya yakaratibiwa.
www.thecitizen.co.tz
Kabla ya kuruhusu huu mchezo ni bora kuangalia yaliyosababisha ukafungiwa zanziber yasijejitokeza na huku. Pili huu mchezo ni kama hatarishi kwani mtu asiyekuwa na ujuzi wa kuogelea anaweza zama na kupoteza maisha
Tatu, upo uwezekano waovu wanaojulikana kama beach boys wakautumia vibaya na kuleta taharuki kwenye jamii.
Nne, ni vyema kila jambo linalofanyika nchini lifanyike kwa uratibu ili kulinda usalama na maudhui ya watu, huu mchezo huchezwa huku wakijirekodi na kurusha mitandaoni, ni vyema maudhui haya yakaratibiwa.
Zanzibar's Makachu divers turn to Dar es Salaam amid suspension in the islands
Zanzibar’s famed Makachu divers have relocated their performances to Coco Beach in Dar es Salaam