zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Yaan yas ipo km haipo tuAna hips zaidi na yas flani tuu, sio yas mmwagiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan yas ipo km haipo tuAna hips zaidi na yas flani tuu, sio yas mmwagiko
Kanzu ni imani au ni vazi la kiarabu?Washazoea hao
Wanachupa na makanzu yao. Wanavoamua tu.
Ipo km haipo mabastola ndo makubwaYaan yas ipo km haipo tu
Vazi tuKanzu ni imani au ni vazi la kiarabu?
Sasa shida nini wao kuruka na kanzu?Vazi tu
Hamna shida mkuuSasa shida nini wao kuruka na kanzu?
Ni vazi rasmi wamatumbi wamechagua kwenda nalo ibadani. Very common garmentKanzu ni nini mkuu? si ni vazi tu kama ambavyo wangeamua kuvaa mashuka ya kimasai... mbona tunafanya maisha kuwa magumu sana?
Emu tuma tupichapicha huko private M nione mazagaIpo km haipo mabastola ndo makubwa
mgeni aliyeleta taharuki ameondoka
Kanzu vazi la jangwani wao wanaenda kucheza nalo bahariniHamna shida mkuu
kuogelea
Monetary doctor umeona ex wangu huku anachowafanyiamgeni aliyeleta taharuki ameondoka
Sasa mbona mmewatimua?Hamna shida mkuu
Shida sio kupiga makachu na kanzu na majubaSasa mbona mmewatimua?
Haifanyi kazi aseeh... Maybe WhatsAppEmu tuma tupichapicha huko private M nione mazaga
Oyaaa hua situmii kabisa Whatsapp labda Google ChatHaifanyi kazi aseeh... Maybe WhatsApp
google chat ipoje, mm ni WhatsApp na hukuOyaaa hua situmii kabisa Whatsapp labda Google Chat
Unazingua demu gani yule, shanga ya kiunoni ipo tumboni unaniangushaMonetary doctor umeona ex wangu huku anachowafanyia
Hongera kwao ZATU.Shida sio kupiga makachu na kanzu na majuba
Shida ilikuwa dada wa kimarekani kwenda kupiga makachu matako wazi na Shanga kuunoni
Ila washafunguliwa baada ya kuomba radhi. Na leo kulikuwa na seminar ya kujadili namna na taratibu zinazotakiwa kufuatwa wakati wa kupiga makachu
View attachment 3187178
Yas km yote hujaona hapo au unazuga tu?Unazingua demu gani yule, shanga ya kiunoni ipo tumboni unaniangusha
Kwa hasira ntakufanyia umafia ntapita mpk na ex wako wa Jana...