Tetesi: Makada wa CCM waondolewe kwenye vyombo vya kutoa haki

Tetesi: Makada wa CCM waondolewe kwenye vyombo vya kutoa haki

LESIRIAMU

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2008
Posts
9,006
Reaction score
14,536
Inasikitisha unapo ona vyombo vya kutoa haki vinacheza na maisha ya Watanzania kwa sababu za maamuzi ya makada.

Hii kesi ya Soka na wenzake ni mfano ambao una onyesha jinsi haki zinavyozidi kupindishwa kwa maslahi ya kundi fulani
Hivi ni kweli Jaji anaweza kusema hakuna ushahidi wa kwamba hawa vijana wame tekwa?

Kwanini hakutaka kuwauliza walalamikaji wana ushahidi gani kwamba wame tekwa?

Kwanini hakutaka hata kuhoji walalamikiwa juu ya jambo hili?

Bungeni nako tumesikia majibu ya ajabu pia kutoka kwa spika.

Hebu ifike mahali tufuate viapo ambavyo watu hushika na Vitabu vya Mungu kumbe ni usanii.

Iko siku yaja viapo hivi vya kumdhihaki Mungu vita geuka moto.
 
Inasikitisha unapo ona vyombo vya kutoa haki vinacheza na maisha ya Watanzania kwa sababu za maamuzi ya makada.

Hii kesi ya Soka na wenzake ni mfano ambao una onyesha jinsi haki zinavyozidi kupindishwa kwa maslahi ya kundi fulani
Hivi ni kweli Jaji anaweza kusema hakuna ushahidi wa kwamba hawa vijana wame tekwa?

Kwanini hakutaka kuwauliza walalamikaji wana ushahidi gani kwamba wame tekwa?

Kwanini hakutaka hata kuhoji walalamikiwa juu ya jambo hili?

Bungeni nako tumesikia majibu ya ajabu pia kutoka kwa spika.

Hebu ifike mahali tufuate viapo ambavyo watu hushika na Vitabu vya Mungu kumbe ni usanii.

Iko siku yaja viapo hivi vya kumdhihaki Mungu vita geuka moto.
Kwahiyo wewe unahisi hayo maswali hayajaulizwa? Ahahahahaha!!!?
 
Vijana kwanini mnafanya mambo mkijua hamna mtetezi
 
Utawaondoa vipi na wakati walishajichimbia mizizi kitambo! Yaani tangu CCM ilipozaliwa mwaka 1977!
 
Makada wapo hadi vijiwe vya kahawa. CCM ndio inaongoza dola ujue.
 
Inasikitisha unapo ona vyombo vya kutoa haki vinacheza na maisha ya Watanzania kwa sababu za maamuzi ya makada.

Hii kesi ya Soka na wenzake ni mfano ambao una onyesha jinsi haki zinavyozidi kupindishwa kwa maslahi ya kundi fulani
Hivi ni kweli Jaji anaweza kusema hakuna ushahidi wa kwamba hawa vijana wame tekwa?

Kwanini hakutaka kuwauliza walalamikaji wana ushahidi gani kwamba wame tekwa?

Kwanini hakutaka hata kuhoji walalamikiwa juu ya jambo hili?

Bungeni nako tumesikia majibu ya ajabu pia kutoka kwa spika.

Hebu ifike mahali tufuate viapo ambavyo watu hushika na Vitabu vya Mungu kumbe ni usanii.

Iko siku yaja viapo hivi vya kumdhihaki Mungu vita geuka moto.
Tatizo ni katiba, suala la mtu fulani hawez kuwa waziri kabla hajawa mbunge, huku wakijua mbunge lazima awe mwanachama ni loophole ya chama kupenyeza watu wao na kutetea maslahi yao

Katiba need reforms ambazo zitatenganisha majukumu ya serikali na chama, pia itatenganisha power ya wanasiasa na vvyombo vya serikali ili kuondoa loophole ya kuvitumia kwa maslahi yao
 
"MAKADA WA CCM WAONDOLEWE KWENYE VYOMBO VYA KUTOA HAKI."
✊️Naunga Mkono Hoja!!.
 
Ni vyema nasi Watanzania tuanze tabia ile walikuwa nayo Wajerumani wakati wakati wa Hitler enzi za NAZI na GESTAPO ikiwa na full power ya kuteka, kutesa na kuua. Wajerumani walitunza diaries za matukio na ushahidi wa kilajambo hadi Hitler na wenzake walipo toka madarakani.
Sasa kwa vile majitu ya GESTAPO yalikuwa yameficha mapesa na dhahabu nje yakakimbilia huko. Yamekusanywa mpaka majuzi wengine wakiwa na miaka 80 ila jinai haina kusahau.
Sasa hata sie, hawa wakina Tulia, Wambura, Kingai, Masauni, XY, YZ nk tutunze tuu risiti za matendo yao kuna siku watalipa tuu.
Vyama vya siasa (CCM excl.) vianzishe black books za kutunza kumbukumbu individuals kwa hawa manyang'au kuna siku watalipa tuu hata kama wamekimbilia Mongolia.
 
Kwahiyo wewe unahisi hayo maswali hayajaulizwa? Ahahahahaha!!!?
Wali ulizwa saa ngapi wakati kesi haiku sikilizwa? Tuache siasa kwenye maisha ya watu. Ni mbaya sana. Sijui mta kwenda kujibu nini kwa Mungu.. Hapa duniani tuna weza kufanya kila utakacho ila iko siku yaja.....
 
CCM ni wepesi sana, kinachowasaidia ni vyombo vya dola ambavyo wamevigeuza kuwa vyombo ya CCM.
 
Wali ulizwa saa ngapi wakati kesi haiku sikilizwa? Tuache siasa kwenye maisha ya watu. Ni mbaya sana. Sijui mta kwenda kujibu nini kwa Mungu.. Hapa duniani tuna weza kufanya kila utakacho ila iko siku yaja.....
Wewe ni mjinga kabisa na sitakujibu!
 
Back
Top Bottom