Hajauliza TAZAMA linafanya nini, kauliza linaingiza Shilingi ngapi? Au kupeleka mafuta Zambia yanapita bure? Nadhani muuliza swali anahitaji tofauti na hiliTAZAMA na Uganda ni miradi miwili tofauti yenye malego tofauti. Tazama ni lakununuwa mafuta yaliyo safisha nje na kuingiza Zambia, Uganda ni la kuchimba mafuta ghafi Uganda kuizia dunia. Very different things.
Dubai Kuna utitiri wa boda boda kama Kampala?Uganda itainuka sana kiuchumi itaipita hata kenya, ndo maana mu7 hataki kuondoka madarakani, Kampala itakuwa kama dubai
Sent using Jamii Forums mobile app
Dubai Kuna utitiri wa boda boda kama Kampala?Uganda itainuka sana kiuchumi itaipita hata kenya, ndo maana mu7 hataki kuondoka madarakani, Kampala itakuwa kama dubai
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka za kwako basi za kiprofeshenariUkadiriaji huu ni Wa ki-layman sana, yaani umefanya kila kitu at maximum, Mapipa umeweka kama yalivyotajwa, siku za mwaka umeweka zote hakuna hata provision yeyote uliyoweka, kwakifupi ume-asume kwamba siku bomba likianza kufanya kazi halitakuja kusimama
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado nafanya analysis nimeingia hapa jamvini nisome habari za leo ndo nimekuta huu ukurupukaji
Sina haja ya kupoteza muda kwenye Utopia. Rating mnayoipa bomba ni rubbish, yamepita mabomba mangapi na hali zinazidi kwa duni...Why rubbish Mkuu? Hebu weka hoja yako na wewe tuone unawaza nini .
Tofauti yake inapatikana wizara ya fedha au wizara ya nishati na madini. Vilevile mbunge wake anaweza akamsaidia kuuliza bungeni kama swali la msingi.Hajauliza TAZAMA linafanya nini, kauliza linaingiza Shilingi ngapi? Au kupeleka mafuta Zambia yanapita bure? Nadhani muuliza swali anahitaji tofauti na hili
Sent using Jamii Forums mobile app