Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,158
- 4,449
Hajauliza TAZAMA linafanya nini, kauliza linaingiza Shilingi ngapi? Au kupeleka mafuta Zambia yanapita bure? Nadhani muuliza swali anahitaji tofauti na hiliTAZAMA na Uganda ni miradi miwili tofauti yenye malego tofauti. Tazama ni lakununuwa mafuta yaliyo safisha nje na kuingiza Zambia, Uganda ni la kuchimba mafuta ghafi Uganda kuizia dunia. Very different things.
Sent using Jamii Forums mobile app