Hebu tukokotoe faida itakayopatikana kutokana na malipo ya USD 12.5 kwa pipa itakayolipwa Tanzania kutokana na bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda mpaka Tanga Tanzania.
Kutokana na maelezo ya Mh Rais jana, kila siku takribani mapipa 216000 kwa siku yatasafirisha kutoka Hoima hadi tanga.
Makusanyo kwa siku: billion 6.048 kwa siku
12.5*216000USD= 2 700 000USD =6 048 000 000 TSH.
Makusanyo kwa mwezi:Billion 181.144
(6.048*30)billion Tsh= 181.144 billion Tsh
Makusanyo kwa mwaka
(181.144*12)billion Tsh= 2177.280 billion Tsh =2.17728 Trillion Tsh per year
Kusema tu ukweli hakuna mradi uliowahi kutoa faida kubwa kiasi ukizingatia kuwa hatujawekeza chochote kwenye mradi huu ukiondoa ardhi na ulinzi.
JPM is the best president In Africa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokana na maelezo ya Mh Rais jana, kila siku takribani mapipa 216000 kwa siku yatasafirisha kutoka Hoima hadi tanga.
Makusanyo kwa siku: billion 6.048 kwa siku
12.5*216000USD= 2 700 000USD =6 048 000 000 TSH.
Makusanyo kwa mwezi:Billion 181.144
(6.048*30)billion Tsh= 181.144 billion Tsh
Makusanyo kwa mwaka
(181.144*12)billion Tsh= 2177.280 billion Tsh =2.17728 Trillion Tsh per year
Kusema tu ukweli hakuna mradi uliowahi kutoa faida kubwa kiasi ukizingatia kuwa hatujawekeza chochote kwenye mradi huu ukiondoa ardhi na ulinzi.
JPM is the best president In Africa
Sent using Jamii Forums mobile app