Makadirio ya chini mpaka sasa umekula wangapi?

Makadirio ya chini mpaka sasa umekula wangapi?

Zaidi ya 1000 aiseeee! Unaweza jaza Mabasi yale yanayobeba abiria 65 zaidi ya 20! Lakini kama ya hao dada poa ndiyo wengi! Over
 
Wenzetu wazungu wapo busy maabarani wanavumbua Mambo mapya na huku sisi miAfrika asubuhi kiasi hiki tunawaza ngono tu.

Sijui sisi watu weusi tulimkosea Nini Mungu mpaka ikaja kuwa hivi.Inasikitisha Sana kwa kweli😥
 
Baeleze hao,hata Mwenyez Mungu hapendi wanaoitukuza dhambi.Atusamehe Kwa kweli
Tatizo lipo pale ambapo jamii zetu zilivyoanza kuacha taratibu na tamaduni nyingi za kiafrika. Mambo kama haya yalizungumziwa jando, na kwenye unyago. Vijana walifundwa wakajua taratibu za kiutu uzima na ukomavu wa akili.

Vilevile anonymity imewapa watu advantage ya kupost wanachokitaka kwa sababu hatufahamiani kwa sura.
 
Wenzetu wazungu wapo busy maabarani wanavumbua Mambo mapya na huku sisi miAfrika asubuhi kiasi hiki tunawaza ngono tu.

Sijui sisi watu weusi tulimkosea Nini Mungu mpaka ikaja kuwa hivi.Inasikitisha Sana kwa kweli😥
Wewe unatafuta nini huku kama umejitambua? Unapaswa kuwa mfano ili wengine wakuige.
 
Habari za asubuhi.

Tangu uanze ujana umekula au umekulwa na wangapi?

Naanza mwenyewe nimekula wasiozidi 6 mpaka sasa wewe je? Kuwa mkweli hakuna anaekujua.
Mboga zote chakula chote Cha kitanzania visawani na bara.... Kushoto kulia...mashariki na kusi....... usisahau kufua nguo za shule
 
Tatizo lipo pale ambapo jamii zetu zilivyoanza kuacha taratibu na tamaduni nyingi za kiafrika. Mambo kama haya yalizungumziwa jando, na kwenye unyago. Vijana walifundwa wakajua taratibu za kiutu uzima na ukomavu wa akili.

Vilevile anonymity imewapa watu advantage ya kupost wanachokitaka kwa sababu hatufahamiani kwa sura.
Sure
 
Back
Top Bottom