Makadirio ya Gharama za kuzungusha uzio kwenye kiwanja

Makadirio ya Gharama za kuzungusha uzio kwenye kiwanja

Yuzobrax

Member
Joined
Mar 26, 2016
Posts
22
Reaction score
41
Wakuu habari za majukumu, bila kupoteza mda ningependa wale wataalamu wa ujenzi wanisaidie kufanya makadirio ya kuzungushia uzio wa kiwanja changu, kiwanja changu kina size ya 45m x 25m na naplan kukizungushia uzio wa tofali, nimepanga kupiga msingi na kupandisha juu course 3 tu ili kukilinda na uvamizi Kisha nitulie nitakuja kumalzia baadae.

Naombeni mawazo yenu tafadhali wakuu.

NB: Kiwanja kipo dsm, eneo ni tambalale, udongo ni wa mchanga.
 
Wakuu habari za majukumu, bila kupoteza mda ningependa wale wataalamu wa ujenzi wanisaidie kufanya makadirio ya kuzungushia uzio wa kiwanja changu, kiwanja changu kina size ya 45m x 25m na naplan kukizungushia uzio wa tofali, nimepanga kupiga msingi na kupandisha juu course 3 tu ili kukilinda na uvamizi Kisha nitulie nitakuja kumalzia baadae.

Naombeni mawazo yenu tafadhali wakuu.

NB: Kiwanja kipo dsm, eneo ni tambalale, udongo ni wa mchanga.
Tofali 1 utanipa buku. msingi tutaelewana...
 
Kuna sehem last week nimepigiwa hesabu na fundi kuzungusha ukuta:-
1. Tofali 1,7000 = 1,700,000
2. Mawe tripu 10 = 210,000
3. Cement mifuko 20 = 400,000
4. Ufundi jumla = 1,200,000
5. Mchanga tripu 3 = 210,000
Jumla kuu na mengineyo nilipigia makadirio ya 4,000,000/= na eneo langu ni tambarare.
 
Kuna sehem last week nimepigiwa hesabu na fundi kuzungusha ukuta:-
1. Tofali 1,7000 = 1,700,000
2. Mawe tripu 10 = 210,000
3. Cement mifuko 20 = 400,000
4. Ufundi jumla = 1,200,000
5. Mchanga tripu 3 = 210,000
Jumla kuu na mengineyo nilipigia makadirio ya 4,000,000/= na eneo langu ni tambarare.
Dsm mawe unayatoa wapi
 
Aah sawa mkuu
Hapana mkuu, sio kinyonge hivyo.
Pale nilotoa mfano wa mimi nilipo ndio maana ukitazama utaona hata bei ya cement kidogo imechangamka kuliko Dar
 
Kuna sehem last week nimepigiwa hesabu na fundi kuzungusha ukuta:-
1. Tofali 1,7000 = 1,700,000
2. Mawe tripu 10 = 210,000
3. Cement mifuko 20 = 400,000
4. Ufundi jumla = 1,200,000
5. Mchanga tripu 3 = 210,000
Jumla kuu na mengineyo nilipigia makadirio ya 4,000,000/= na eneo langu ni tambarare.
Ahaa, ukubwa wa kiwanja ni SQM ngap
 
Wakuu habari za majukumu, bila kupoteza mda ningependa wale wataalamu wa ujenzi wanisaidie kufanya makadirio ya kuzungushia uzio wa kiwanja changu, kiwanja changu kina size ya 45m x 25m na naplan kukizungushia uzio wa tofali, nimepanga kupiga msingi na kupandisha juu course 3 tu ili kukilinda na uvamizi Kisha nitulie nitakuja kumalzia baadae.

Naombeni mawazo yenu tafadhali wakuu.

NB: Kiwanja kipo dsm, eneo ni tambalale, udongo ni wa mchanga.
1. Tofali = (45m+25m)×2/urefu wa tofali na joint yake(0.48)× idadi ya kozi (6) = tofali 840
2. Cement = tofali 840/50 = mifuko 17 (ratio 1:6)
3. Mchanga = 1.3x20Ltrx12x17/1000=5.3m³ (lorry la 5m³ trip moja)

Ukihitaji Ramani au Makadirio kuhusu ujenzi usisite kunicheck PM
 
1. Tofali = (45m+25m)×2/urefu wa tofali na joint yake(0.48)× idadi ya kozi (6) = tofali 840
2. Cement = tofali 840/50 = mifuko 17 (ratio 1:6)
3. Mchanga = 1.3x20Ltrx12x17/1000=5.3m³ (lorry la 5m³ trip moja)

Ukihitaji Ramani au Makadirio kuhusu ujenzi usisite kunicheck PM
Shukurani Sana mkuu, nakuja PM
 
Kuna sehem last week nimepigiwa hesabu na fundi kuzungusha ukuta:-
1. Tofali 1,7000 = 1,700,000
2. Mawe tripu 10 = 210,000
3. Cement mifuko 20 = 400,000
4. Ufundi jumla = 1,200,000
5. Mchanga tripu 3 = 210,000
Jumla kuu na mengineyo nilipigia makadirio ya 4,000,000/= na eneo langu ni tambarare.
Fundi Yuko sawa,usinlipe zote wanazingua
 
Ahaa total cost itakuwa bei gan
Nenda kachunguze ulipo Tofali 1 wanauza shilingi ngapi .halafu utaleta kwa awamu labda alfu kwanza yatakapoishia itajulikana yataongezwa mangapi.
IMG_20230326_110843.jpg
 
1. Tofali = (45m+25m)×2/urefu wa tofali na joint yake(0.48)× idadi ya kozi (6) = tofali 840
2. Cement = tofali 840/50 = mifuko 17 (ratio 1:6)
3. Mchanga = 1.3x20Ltrx12x17/1000=5.3m³ (lorry la 5m³ trip moja)

Ukihitaji Ramani au Makadirio kuhusu ujenzi usisite kunicheck PM
Mkuu msaada hapa pia, eneo lenye ukubwa wa 42mx50m linaweza kuhitaji tofari na cenent ngapi kwa ajiri ya fensi?
 
eneo lenye ukubwa wa 42mx50m linaweza kuhitaji tofari na cenent ngapi kwa ajiri ya fensi?
 
Mkuu msaada hapa pia, eneo lenye ukubwa wa 42mx50m linaweza kuhitaji tofari na cenent ngapi kwa ajiri ya fensi?
1. Tofali = (45m+25m)×2/urefu wa tofali na joint yake(0.48)× idadi ya kozi (6) = tofali 840
2. Cement = tofali 840/50 = mifuko 17 (ratio 1:6)
3. Mchanga = 1.3x20Ltrx12x17/1000=5.3m³ (lorry la 5m³ trip moja)

Ukihitaji Ramani au Makadirio kuhusu ujenzi usisite kunicheck PM
Ukimjibu na Mimi nitag....Cha kwangu 42x40
 
Back
Top Bottom