Pamoja na hoja zote zilizowtolewa na wadau, ni muhimu pia kuwa na michoro kwaajili ya uzio wako.
Hivi sasa fence sio tu ni suala la kuficha vilivyo ndani bali pia ni moja ya sehemu ya urembo wa kupendezesha muonekano wa jengo lako. Na hii hufanya idadi ya matofali kuwa kubwa au ndogo.
Kwa ukubwa wa eneo hilo hilo mnaweza kutumia tofali za idadi tofauti kabisa hata kama viwanja vyenu vinakaribiana. Hii ni kutokana na design husika ya fence.
Hivyo nashauri, ni bora ukatafuta mchoro madhubuti wa fence, na kutokea hapo utapata uhalisia wa ni matofali kiasigani, nondo, mchanga, cement, kokoto, marine n.k utakazo hitaji wakati wa ujenzi.
Hii itakusaidia Luanda bajeti itakayo maliza kazi mwanzo hadi mwisho.
Be blessed.
Cheers 🥂