sixlove
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 563
- 393
Habari wanajamvi.
Samahani nina kiwanja kina ukubwa wa 2430 square meter.
Nataka nijenge uzio ambao ni standard, namaanisha uwe na urefu toshelezi.
Msingi una urefu wa futi mbili kutoka ulipochomoza kwenye ardhi.
Je, yatahitajika matofali mangapi ya inch 5 kukamilisha ujenzi wote wa fence?
Natanguliza shukrani
Samahani nina kiwanja kina ukubwa wa 2430 square meter.
Nataka nijenge uzio ambao ni standard, namaanisha uwe na urefu toshelezi.
Msingi una urefu wa futi mbili kutoka ulipochomoza kwenye ardhi.
Je, yatahitajika matofali mangapi ya inch 5 kukamilisha ujenzi wote wa fence?
Natanguliza shukrani