Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
Tayari tumeshawaona nyie ni wadhaifu!
dahhhh, sio wote bana....ushawahi msoma mbu aki advocate mambo haya?
mimi situmii shortcuts kwenye maisha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari tumeshawaona nyie ni wadhaifu!
Kweli kaka angu, katika hao wadhaifu wewe sio mmoja wao, kama unachoandikaga humu jf ndio maisha yako halisi unastahili pongezi za dhati, katika watu ambao huwa nahisi wamebarikiwa kiupeo humu jf ni wewe na MJ1, nawapenda sana na napenda sana michango yenu humu jamvini... Mungu awabariki sana!dahhhh, sio wote bana....ushawahi msoma mbu aki advocate mambo haya?
mimi situmii shortcuts kwenye maisha...
Mimi humalizia kwa house girl wangu yani niki mdrop tu wife wangu kazini kwake naenda kuripoti chap then narudi home faster kama kipanga nakamua vizurii!hadi raha jioni namcheki tu wife na minuno yake isiyokuwa na kichwa wala miguu kwa chati nikiwa mwepesiii!
Hivi makahaba kwa kizungu ndio huitwa masekiletale?
Ni fikra zako potofu tu, si kila mtu anajipooza kwa kahaba! Wengine mabeki tatu, wake za wenzao, masekretary,watoto wa wenzao n.k. Kama we unapenda makahaba usidhani Ni kila mtu.
Baba bwana, na kwa wanawake tusemeje? Mashamba boy au kuna makahaba wa kiume??
Sikubishii kwa hili Baba yangu hasa ukijumlisha na ile Structural Functionalism theory inayozungumzia Prostitution...............! Najiuliza tu kwa nguvu upande wa wake hao ambao waume zao wanapumzikia kwa makahaba, wao je wanapumzikia wapi? au wao hawashikwi na kiu??!
@MJ1......... Ahsante mwanangu kwa kukubaliana na mimi, maana nilikuwa nasubiri changamoto yako kwa shauku kweli................Kuhusu upande wa wanawake labda mnisaidie kujibu, maana mie nilidadavua upande wa wanaume tu..............
Mgonjwa hajapona Ndyoko, bali anaendelea vizuri.
Hapa najiandaa kwenda kutoa nyuzi za Operation hapo Regency Hospital.......................
Hivi ukifika kwa kahaba unaanza kumwambiaje vile?
Duuuh!
Mimi humalizia kwa house girl wangu yani niki mdrop tu wife wangu kazini kwake naenda kuripoti chap then narudi home faster kama kipanga nakamua vizurii!hadi raha jioni namcheki tu wife na minuno yake isiyokuwa na kichwa wala miguu kwa chati nikiwa mwepesiii!
hahah mkuu haumtendei haki wife wako kabisa..
Hapa nazungumzia zile ndoa zenye vurugu, maana naona Wa-Beijing wanataka kunishukia kama Mwewe awindapo vifaranga.
Hebu fikiria, hivi kama makahaba wasingekuwepo, ndoa nyingi zilizo na vurugu zingekalika? .. Mimi naamini zisingekalika na hata kuuana kungeongezeka. Nyie wenyewe ni mashahidi wa mauaji mengi yanayotokea huko vijijini na sababu kubwa inayotajwa ni ya wanandoa kunyimana unyumba. Na kutokana na ukosefu wa makahaba huko vijijini ukilinganisha na mijini, ndio sababu hali hiyo hutokea .
Mtambuzi kweli wewe uko shalo, kwa hiyo wewe unaona kuuana kwa kutumia visu tu? Na huku tunakouana na VVU je!? Mi naona vifo vya VVU ni vingi kuliko hivi vya kuchinjana, hebu rudi field tena uje vizuri zaidi.