Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
SIr Nature alikua TISHIO sana kipindi hiko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KumbeNature alikuwa na die hard fans ndio maana hadi leo akipiga show bado watu wanahudhuria..
Ila ile video ya mpenzi ya james dandu na sinta [emoji4][emoji4][emoji4] sijui nature alikuwa anajisikiaje akiiangalia
Mkuu walikuwa wanalumangia na chumvi ,pilipipili na kachumbariUgali mlikuwa mnapewa na mboga??
Yeuwii, bora iwe maneno tuu, maana huo wimbo umenitafakarisha[emoji30]Inasemekana naye kaukwaa....ila sitaki kuamini....labda ni maneno tu ya watu...
Mkuu walikuwa wanalumangia na chumvi ,pilipipili na kachumbari
HahahahaIla Diamond mkali kuliko wanamuziki wote waliowahi kutokea Tanzania na rekodi zake haziwezi kufikikiwa. Alisikika kijana mmoja aliezaliwa 2007 akiongea
Mbona mr nice anadai alikuwa na more than 2 billions ,kwa nyie wahenga hii imekaaje ? Ni kweli aliishi maisha hayo ?Sir kiroboto ni legend.Ni bahati mbaya sana waliokuwa wanafaidika sio wasanii.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila Diamond mkali kuliko wanamuziki wote waliowahi kutokea Tanzania na rekodi zake haziwezi kufikikiwa. Alisikika kijana mmoja aliezaliwa 2007 akiongea
Mtonyo alikuwa nao,nakumbuka nice alikuja kupiga show Dom alikuja na msafara wa magari km 20 HV akiwa ndani ya kibanda wazi(Yale magari yanayofunuka kwa juu) akiwa na wapambe km mia HV halafu wote akawalipia hotel Kali Dodoma hotelMbona mr nice anadai alikuwa na more than 2 billions ,kwa nyie wahenga hii imekaaje ? Ni kweli aliishi maisha hayo ?
Sir kiroboto ni legend.Ni bahati mbaya sana waliokuwa wanafaidika sio wasanii.
Alikua pia ana udhamini mnono pia wa TBL enzi hizo so mpunga alikua nao.Mtonyo alikuwa nao,nakumbuka nice alikuja kupiga show Dom alikuja na msafara wa magari km 20 HV akiwa ndani ya kibanda wazi(Yale magari yanayofunuka kwa juu) akiwa na wapambe km mia HV halafu wote akawalipia hotel Kali Dodoma hotel