Makala: Juma Nature, Sinta walivyozua balaa kwenye uzinduzi wa ‘Ugali’ (TBT)

Sawa
 
Nakumbuka DOLO alitaka pigwa MBEYA kama si TEMBA kutuliza ghasia.


Wahuni wamemvuta NATURE toka ukumbuni ndani ya Dhando Mbeya wanamrusharusha juu Dolo akajidai kuongea mambo mbofumbofu watu wakampiga na makopo ya bia Mh.Temba akawatuliza wana wakatulia na NATURE akawapa Burudani.



NATURE alikuwa ni msanii ambaye alikuwa akifika sehemu anakula na wana vitu kisha anaenda jukwaani.
 
James aliingilia kati penzi la nature, hadi ikasemekana ajari ya James nyuma ya panzia yupo sir nature.
Dah wahenga sisi unatukumbusha mbali, nakumbuka pia hio ajali tangu mwanzo jamaa alikua amekaa na washkaji, akawaambia hajiskiii vizuri, anahisi kufa kufa , wakacheka wakajua jamaa anatania , jamaa akaondoka mbele yao, baadae jamaa kala mzinga wa hatari
 
Noma sana, nature hakukubal kizembe.
 
Kuhusu uzinduzi wa Album nakumuka nilikuwa na miaka 17, nilienda show ilitawaliwa na wasanii wa BONGO RECORDS tupu, wale wa master j wa J RECORDS hakuwepo hata mmoja, JAY MOE NA DULLY SYKES walifunika siku hiyo, nilipoenda chooni kukojoa nilikuta wasanii wote wanavuta bangi kasoro mike tee, zay b na LWP
 
Ilikuwa sigara Kubwa
 
Kabisa alienda Bukoba Uswahilini wamekaa hotel kwanza katoroka na kandambili kutafta wapi apate Ndumu kwanza alafu mambo mengine baadae, wali on a anakatiza kitaa watu mishangao kama yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…