Makala: Juma Nature, Sinta walivyozua balaa kwenye uzinduzi wa ‘Ugali’ (TBT)

Umenikumbusha mbali sana jamaa..japo umekosea kusema waliozaliwa miaka ya 2000 ina maana kipindi hicho Juma nature na Sinta wanavuma nadhani ilikuwa 2001 or 2002 sasa kama mtu kazaliwa 2000 alikuwa mtoto mdogo asiyejua kama kuna mziki!
Ungesema waliozaliwa miaka ya 1990 kurudi nyuma sawa
 
Wataje
 
Huenda uyo jamaa yenu wa Temeke ni kib100..unajua mtoto kaa huyo shatashata anatakiwa apelekewe moto wa ukweli kabisa na kufikishiwa 'ujumbe' vyema sio kuguswa na penseli, harufu ya mibangi na mikojo!
 
britanicca

Asante kwa kutumia muda wako kutuhabarisha hii kumbukizi.

Kwa jinsi ulivyoiandika vizuri, hakika haihitaji video clip kuvuta hisia za nini kilichotokea enzi hizo. Hongera kwa uandishi mwanana ulio sheheni mbwembwe zote muhimu.
 
Huenda uyo jamaa yenu wa Temeke ni kib100..unajua mtoto kaa huyo shatashata anatakiwa apelekewe moto wa ukweli kabisa na kufikishiwa 'ujumbe' vyema sio kuguswa na penseli, harufu ya mibangi na mikojo!
Hujui wapare wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…