Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UPDATESMkuu vp wamepewa dhaman??
Ishu ya raisi alaf unaiita binafsi..kwahyo wewe ukifumaniwa ni ishu yako haiihusu familia yako?
Nawewe soma kwanza ulichokiandika mkuu,huenda hata wewe mwenyew hujui ulichokiandika or hujaelewa ulichokiandika...tuliza akili soma kwa makini ulichokiandika mwenyewe then uje ujibu swali langu....idriss aliharibu ushahidi gani,lini ashawahi shtakiwa kwa kuharibu ushahidi??...Soma tena nilichoandika
Jr[emoji769]
Mchekeshaji huyu alikuwa akishikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay kwa takriban siku 8 akifanyiwa mahojiano.Nawewe soma kwanza ulichokiandika mkuu,huenda hata wewe mwenyew hujui ulichokiandika or hujaelewa ulichokiandika...tuliza akili soma kwa makini ulichokiandika mwenyewe then uje ujibu swali langu....idriss aliharibu ushahidi gani,lini ashawahi shtakiwa kwa kuharibu ushahidi??.....Kama kuharibu ushahidi ni kosa kwanini idriss hajawahi shtakiwa kwa kuharibu ushahidi....topic yako inahusu masuala ya kuharibu ushahidi...kwanini jina la idriss kwenye topic yako mtu ambaye hajawahi haribu ushahidi...?
Idris Sultan afikishwa katika Mahakama ya Kisutu. Ashtakiwa kwa kumiliki laini ya simu isiyo na jina lake. Aachiwa kwa dhamana - JamiiForumsNawewe soma kwanza ulichokiandika mkuu,huenda hata wewe mwenyew hujui ulichokiandika or hujaelewa ulichokiandika...tuliza akili soma kwa makini ulichokiandika mwenyewe then uje ujibu swali langu....idriss aliharibu ushahidi gani,lini ashawahi shtakiwa kwa kuharibu ushahidi??.....Kama kuharibu ushahidi ni kosa kwanini idriss hajawahi shtakiwa kwa kuharibu ushahidi....topic yako inahusu masuala ya kuharibu ushahidi...kwanini jina la idriss kwenye topic yako mtu ambaye hajawahi haribu ushahidi...?
sasa hapo kosa la kuharibu ushahidi liko wapi kwenye mashtaka ya mahakamani? According to maandishi uliyoweka hapo juu alikuwa anashikiliwa kwa kosa la kuharibu ushahidi,Mchekeshaji huyu alikuwa akishikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay kwa takriban siku 8 akifanyiwa mahojiano.
Haijajulikana ni mashtaka gani atasomewa lakini kwa wa mujibu wa Polisi, walikuwa wakimuhoji kwa tuhuma za kujaribu kuharibu ushahidi na makosa mengine ya Kimtandao.
Endelea kufuatilia...
kosa aliloshtakiwa idriss ni kumiliki line ya cm isiyo yake...sasa angalia kama ilo kosa lina connection na ulichoandika kwenye iyo paragraphIdd baada ya kufanya lile kosa alililoshtakiwa nalo.. Nadhani kuna watu walimshika MASIKIO yake makubwa kwamba afute haraka la sivyo anajiweka matatani... Kwa mwendokasi wa super sonic (sio ya COVID-19) aidha alifuta kabisa ama alihariri maudhui husika ili asalimike kuingia matatani.
Jr[emoji769]
kosa aliloshtakiwa idriss ni kumiliki line ya cm isiyo yake...sasa angalia kama ilo kosa lina connection na ulichoandika kwenye iyo paragraph
Huu unaitwa wivu wa akina mwajuma ndala ndefuTatizo huyo jamaa huwa anadandia kila kitu, yan uzi wa leo kaingia cha kike anaishia kurukaruka tu!
sasa hapo kosa la kuharibu ushahidi liko wapi kwenye mashtaka ya mahakamani???According to maandishi uliyoweka hapo juu alikuwa anashikiliwa kwa kosa la kuharibu ushahidi,kama ni kosa kweli kwanini hajapandishwa nalo kizimbani...???
Kufuta kitu ulichopost mtandaoni or ku edit kitu ulichopost mtandaoni si kuharibu ushahidi na si kosa....
Haijajulikana ni mashtaka gani atasomewa lakini kwa wa mujibu wa Polisi, walikuwa wakimuhoji kwa tuhuma za kujaribu kuharibu ushahidi na makosa mengine ya Kimtandao.kosa aliloshtakiwa idriss ni kumiliki line ya cm isiyo yake...sasa angalia kama ilo kosa lina connection na ulichoandika kwenye iyo paragraph