Makala ya tulipotoka mbali

Makala ya tulipotoka mbali

idiomer

Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
53
Reaction score
18
Tumetoka mbali sana. Nakumbuka hapo kale tulikuwa tunasoma na vibatari na taa za chemli. Yaani unaweza kugombezwa umesoma ukamaliza mafuta ya taa. Nakumbuka tulikuwa tukipasi nguo na mkaa wa magunzi ya mahindi.

Nakumbuka pipi tofe. Hakika wakati mgumu hutengeza watu imara.
 
Back
Top Bottom