LGE2024 Makalla: Chagueni wagombea wa CCM wale wa CHADEMA Mbowe kasema hawana ILANI ni hatari kuwa na kiongozi bila kuwa na Mkataba wa atakufanyia nini

LGE2024 Makalla: Chagueni wagombea wa CCM wale wa CHADEMA Mbowe kasema hawana ILANI ni hatari kuwa na kiongozi bila kuwa na Mkataba wa atakufanyia nini

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
View attachment 3157199
KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC ) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi,Siasa na Mafunzo CPA Amos Makala amesema amemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe Akieleza kuwa Chama chake hakina Ilani na wagombea wao watatakiwa kubuni buni Ilani tu.

CPA Makala ameyasema hayo leo Novemba 20,2024 mbele ya wananchi wakiwemo wana CCM wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam alipokuwa akizindua kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa,vijiji na vitongoji unaotarajia utafanyika Novemba 27 mwaka huu.

Akizungumza mbele ya mamia ya wananchi hao CPA Makala amesema amefuatilia hotuba ya Mbowe jana na amemsikia akisema Chama chake hakina Ilani na ameagiza kila mgombea atakayeteuliwa katika Kijiji chake au katika mtaa wake abuni Ilani yake

“Nilisikia hivyo kwamba wao hahawawezi kuandika Ilani, hawana jambo lolote la kusimamia uchaguzi huu ila wamewaagiza wagombea wao kubuni buni Ilani ya mtaa au kama kuna kijiji abuni yeye Ilani ya pale…

“Kwahiyo mnaweza kupata picha mnaenda katika uchaguzi kuna Chama kimeleta maendeleo na mafanikio,kuna chama kina Ilani lakini kuna chama kingine kinakuja kuomba kura lakini kinawathabitishia Watanzania kwamba wao hawakujipanga na wanataka wagombea wao wabuni Ilani katika kijiji anachokaa

“Pamoja na Ilani sisi Chama Cha Mapinduzi tumetoa tamko la kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,hawa wagombea wetu watakuwa wanajinadi lakini watakuwa wanatumia tamko la Chama Cha Mapinduzi.”
 

Attachments

  • 5808629-57f86e47f2e7305376bcccf74fb56df4.mp4
    2.1 MB
  • 5808626-bde51487c15170759ed7838e0c83538c.mp4
    339 KB
View attachment 3157199
KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC ) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi,Siasa na Mafunzo CPA Amos Makala amesema amemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe Akieleza kuwa Chama chake hakina Ilani na wagombea wao watatakiwa kubuni buni Ilani tu.

CPA Makala ameyasema hayo leo Novemba 20,2024 mbele ya wananchi wakiwemo wana CCM wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam alipokuwa akizindua kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa,vijiji na vitongoji unaotarajia utafanyika Novemba 27 mwaka huu.

Akizungumza mbele ya mamia ya wananchi hao CPA Makala amesema amefuatilia hotuba ya Mbowe jana na amemsikia akisema Chama chake hakina Ilani na ameagiza kila mgombea atakayeteuliwa katika Kijiji chake au katika mtaa wake abuni Ilani yake

“Nilisikia hivyo kwamba wao hahawawezi kuandika Ilani, hawana jambo lolote la kusimamia uchaguzi huu ila wamewaagiza wagombea wao kubuni buni Ilani ya mtaa au kama kuna kijiji abuni yeye Ilani ya pale…

“Kwahiyo mnaweza kupata picha mnaenda katika uchaguzi kuna Chama kimeleta maendeleo na mafanikio,kuna chama kina Ilani lakini kuna chama kingine kinakuja kuomba kura lakini kinawathabitishia Watanzania kwamba wao hawakujipanga na wanataka wagombea wao wabuni Ilani katika kijiji anachokaa

“Pamoja na Ilani sisi Chama Cha Mapinduzi tumetoa tamko la kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,hawa wagombea wetu watakuwa wanajinadi lakini watakuwa wanatumia tamko la Chama Cha Mapinduzi.”
Chadema wamejifia maana Viongozi wao wanaweweseka sana
 
Ilani manake ni nini?
Lazima iandikwe kwenye kitabu ?
Mfano mtu anagombea uwenyekiti wa kijiji A anaishi hapo miaka yake yote unataka unambie Hayajui matatizo na changamoto za pale hadi aandike?
CPA Makala ana CPA Kweli au anazungumza toka hewani??????????
Unachokitafuta hapa ni ubishani tu. Hizi mantiki zenu ndizo zinazosababisha CHADEMA kuonekana kama chama kilichokufa. Chama kinaendeshwa kwa ujanja ujanja tu, hakuna ilani inayofuatwa, mnadandia hoja za wengine, na hakuna malengo ya muda mrefu. Hata hivyo, bado mnajiona kama chama kikuu cha upinzani. Hii ni kujidanganya mchana kweupe.

CHADEMA imekufa.
 
Ilani zinawasaidia machawa
Unachokitafuta hapa ni ubishani tu. Hizi mantiki zenu ndizo zinazosababisha CHADEMA kuonekana kama chama kilichokufa. Chama kinaendeshwa kwa ujanja ujanja tu, hakuna ilani inayofuatwa, mnadandia hoja za wengine, na hakuna malengo ya muda mrefu. Hata hivyo, bado mnajiona kama chama kikuu cha upinzani. Hii ni kujidanganya mchana kweupe.

CHADEMA imekufa.
 
Unachokitafuta hapa ni ubishani tu. Hizi mantiki zenu ndizo zinazosababisha CHADEMA kuonekana kama chama kilichokufa. Chama kinaendeshwa kwa ujanja ujanja tu, hakuna ilani inayofuatwa, mnadandia hoja za wengine, na hakuna malengo ya muda mrefu. Hata hivyo, bado mnajiona kama chama kikuu cha upinzani. Hii ni kujidanganya mchana kweupe.

CHADEMA imekufa.
Kama mnajadili kifo cha CHADEMA sawa, lakini kama ni kuhusu maendeleo ya Taifa katu sitanyamaza
 
Unachokitafuta hapa ni ubishani tu. Hizi mantiki zenu ndizo zinazosababisha CHADEMA kuonekana kama chama kilichokufa. Chama kinaendeshwa kwa ujanja ujanja tu, hakuna ilani inayofuatwa, mnadandia hoja za wengine, na hakuna malengo ya muda mrefu. Hata hivyo, bado mnajiona kama chama kikuu cha upinzani. Hii ni kujidanganya mchana kweupe.

CHADEMA imekufa.
Chadema imedhoofishwa na Polisi, Usalama, na Mahakama, ili kuinusuru Ccm.
 
Badala aseme hiyo ilani yao amekazana kumzungumzia Mbowe,.

Nje ya mada jamaa limefuga kitambi mpaka linashindwa kuzungumza vizuri
 
22 November 2024
Keko Mwanga
Dar es Salaam, Tanzania

MWAKYEMBE AONGEA KAMPENI KEKO MWAGA DSM TAMISEMI 2024

Kata ya Keko Mwanga jijini Dar es Salaam, diwani Jasdeep Singh Bahra CCM na viongozi wa CHADEMA Nyamlinga, wapanda jukwaa moja kero za Keko Magurumbasi, Keko Mwanga, Keko Madawa n.k CCM imeshindwa kumaliza kero za wananchi pamoja yakuwa wana mbunge CCM, diwani CCM, Serikali CCM ... 2024 CUF Mashilingi Shilingi Shilingi achukua fomu uenyekiti wa mtaa wa Keko B waichanganya CCM ...


View: https://m.youtube.com/watch?v=UhS1fQGzozM

TOKA MAKTABA:


Mwandishi Wetu 2023 Agosti

Diwani Keko afanya ujenzi holela, awakingia kifua wawekezaji wa nje​

1732360756630.jpeg


Diwani wa Kata ya Keko Mwanga, Jasdeep Singh Bahra, anafanya ujenzi wa ghala la kiwanda cha kutengeza T-shirt bila kuwa na vibali.

Kwa mujibu wa uchunguzi ulifanywa na Morningstar Post, umebaini kuwa diwani huyo amekuwa akiwakingia kifua watu wanaokwenda kinyume na sheria katika kata yake.

Watendaji wa halmashuri ya manispaa temeke walifika kwenye mradi wa ujenzi wa kiwanda hicho hivi karibuni na kukuta ujenzi unaendelea lakini diwani huyo alijitokeza na kuzuia watendaji hao kufanya kazi yao.

Aidha waandishi wa habari hizi pia walifika katika mradi huo na kushuhudia ujenzi unaendelea lakini hakuna vibali vya ujenzi.

Akizungumza na waandishi wa habari kwa njia ya simu diwani huyo alikiri kuwa jengo hilo linalojengwa ni la kwake na amewapangisha wachina wanoendesha kiwanda cha kutengeneza fulana.

Habari zinasema kuwa diwani huyo baada ya kuhojiwa na waandishi wa habari hizi alikwenda kulalamika kwenye ofisi za manispaa ya temeke kuwa waandishi wa habari wamempigia simu wanataka kumchafua kwa kuandia habari zake.

“Habari ujenzi za mradi huo sio za kweli mimi sifanyi ujenzi bale…hata wale wachina tumegombana sana kwanini wanafanya ujenzi bila kunihusisha”, alisema diwani


View: https://m.youtube.com/watch?v=lRWrW-KKWmw
Diwani wa Kata ya Keko Mwanga, Jasdeep Singh Bahra
 
13 November 2024

Diwani Jasdeep Singh Babhra atoa chakula bure shuleni

Jasdeep Singh Babhra diwani wa kata ya Keko katika manispaa ya Temeke jijini Dar es salaam apongezwa na wakazi wa kata ya Keko kwa juhudi zake za kuwainua kiuchumi, afya pamoja na maswala muhimu ya elimu..

View: https://m.youtube.com/watch?v=Yc3rhI164DA

2024 Kata ya Keko jijini Dar es Salaam, , ... 2024 CUF Mashilingi Shilingi Shilingi achukua fomu uenyekiti wa mtaa wa Keko B waichanganya CCM ... huku CHADEMA wakiwinda mitaa na kamati ujumbe wa serikali kwa kukubalika sana...TEMEKE CHADEMA inasonga mbele kwa kasi mno , Keko Machungwa , Keko Mwanga , Kurasini , Keko Juu mwaka huu 2024 TAMISEMI chama dola kongwe CCM kwisha kazi .
 
ILANI ZA CCM NI LAANA KWA MAENDELEO YA WATZ, HAZINA TIJA MIAKA NENDA RUDI
 
Aliyekuwa RC wa Simiyu, Dkt Nawanda ashinda kesi ya “kumlawiti Mwanafunzi”, asema anamuachia Mungu
 
Back
Top Bottom