LGE2024 Makalla: Uchaguzi huu ni mgumu tusibweteke kumbukeni hakuna kupita bila kupingwa tena

LGE2024 Makalla: Uchaguzi huu ni mgumu tusibweteke kumbukeni hakuna kupita bila kupingwa tena

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla akizungumza na Wanachama pamoja na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kinondoni katika Ukumbi wa Kiramuu Hall, leo NOV 04, 2024.

Amesema kwenye kipindi cha kampeni hakuna kulala Wana CCM wapambane watafute kura ili kukiwezesha Chama cha Mapinduzi kushinda kwa kishindo kwani Uchaguzi huu hakuna ile kushinda bila kupingwa japo kuwa kuna Mitaa ,Vijiji na Vitongoji wenzetu hawajaweka watu.

"Pamoja na kwamba kuna dalili za wenzentu kutosimamisha wagombea kwenye maeneo mbalimbali itakapotea naomba niongee na wana CCM wa Kinondoni na Nchi nzima kwamba Uchaguzi huu hauna kupita bila kupingwa msibweteke kwani mmesikia Chama fulani kimesema kitahakikisha hata kama CCM ndo wameteuliwa tutawapigia kampeni ya kupigiwa kura ya hapana."
IMG-20241105-WA0001.jpg
 
Mimi nimejionea namna wapinzani na upinzani ulivyojikatia tamaa na kupoteza matumaini kabisa.viongozi wa upinzani wapo kama hawapo vile.hawana ushawishi wala sera wala ajenda wala hoja zenye kugusa Maisha ya watu.Maeneo mengi sana hawajaweka wagombea na wengi hawakuchukua Fomu kwa hofu na uoga wakukataliwa..

Ninyi hamuwezi mkajiuliza inakuwaje viongozi wa ngazi za juu wa upinzani kama Lissu wanakimbia kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura? Sasa hamuoni ni ile hali ya kukata tamaa? Sasa kama wao tu viongozi hawajajiandikisha wanataka nani ajiandikishe na kuwapigia kura? Kama wao tu hawapo kwenye daftari la mpiga kura wanataka nani awepo na awape kura?

Na hivyo naweza kusema kuwa CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Nchi Nzima
 
Mimi nimejionea namna wapinzani na upinzani ulivyojikatia tamaa na kupoteza matumaini kabisa.viongozi wa upinzani wapo kama hawapo vile.hawana ushawishi wala sera wala ajenda wala hoja zenye kugusa Maisha ya watu.Maeneo mengi sana hawajaweka wagombea na wengi hawakuchukua Fomu kwa hofu na uoga wakukataliwa..Ninyi hamuwezi mkajiuliza inakuwaje viongozi wa ngazi za juu wa upinzani kama Lissu wanakimbia kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura? Sasa hamuoni ni ile hali ya kukata tamaa? Sasa kama wao tu viongozi hawajajiandikisha wanataka nani ajiandikishe na kuwapigia kura? Kama wao tu hawapo kwenye daftari la mpiga kura wanataka nani awepo na awape kura?

Na hivyo naweza kusema kuwa CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Nchi Nzima
Wewe na Makalla nani ni kiongozi?
 
View attachment 3143346
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla akizungumza na Wanachama pamoja na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kinondoni katika Ukumbi wa Kiramuu Hall, leo NOV 04, 2024.

Amesema kwenye kipindi cha kampeni hakuna kulala Wana CCM wapambane watafute kura ili kukiwezesha Chama cha Mapinduzi kushinda kwa kishindo kwani Uchaguzi huu hakuna ile kushinda bila kupingwa japo kuwa kuna Mitaa ,Vijiji na Vitongoji wenzetu hawajaweka watu.

"Pamoja na kwamba kuna dalili za wenzentu kutosimamisha wagombea kwenye maeneo mbalimbali itakapotea naomba niongee na wana CCM wa Kinondoni na Nchi nzima kwamba Uchaguzi huu hauna kupita bila kupingwa msibweteke kwani mmesikia Chama fulani kimesema kitahakikisha hata kama CCM ndo wameteuliwa tutawapigia kampeni ya kupigiwa kura ya hapana."
Msigwa yuko wapi leo.. Maana huwa hawaachani
 
Wewe na Makalla nani ni kiongozi?
Huwezi ukamuelewa vyema Mheshimiwa CPA Amos Gabriel Makalla ikiwa akili yako ni ndogo .Ndio Maana amewaambia kuwa maeneo mengi upinzani halijasimamisha wagombea .ambapo hao wapinzani uchwara wanasema wanahamasisha kupigwa kwa kura ya HAPANA. Sasa wewe kwa akili yako huoni hapo kuwa Mwenezi wetu hodari anawapa.ukumbe kuwa CCM imeshapita tayari maeneo Mengi sana .ila wewe huwezi kuelewa maana umeingia kichwa kichwa na akili yako hiyo ndogo.
 
View attachment 3143346
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla akizungumza na Wanachama pamoja na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kinondoni katika Ukumbi wa Kiramuu Hall, leo NOV 04, 2024.

Amesema kwenye kipindi cha kampeni hakuna kulala Wana CCM wapambane watafute kura ili kukiwezesha Chama cha Mapinduzi kushinda kwa kishindo kwani Uchaguzi huu hakuna ile kushinda bila kupingwa japo kuwa kuna Mitaa ,Vijiji na Vitongoji wenzetu hawajaweka watu.

"Pamoja na kwamba kuna dalili za wenzentu kutosimamisha wagombea kwenye maeneo mbalimbali itakapotea naomba niongee na wana CCM wa Kinondoni na Nchi nzima kwamba Uchaguzi huu hauna kupita bila kupingwa msibweteke kwani mmesikia Chama fulani kimesema kitahakikisha hata kama CCM ndo wameteuliwa tutawapigia kampeni ya kupigiwa kura ya hapana."
Hatudanganyiki😅😅😅
 
CCM wajanja sana yaani.

Huko mtaani huko wagombea wa serikali za mtaa na vijiji wa vyama vingine wanakatwa, wanaopokea documents za wagombea wanakimbia ofisi ili wasipokee au wanafoji wagomea fake wa upinzani.

Alafu leo Makala anatamja hakuna kupita bila kupingwa ahahaaa 🤣 😂 🤣 😂 !.
 
Mimi nimejionea namna wapinzani na upinzani ulivyojikatia tamaa na kupoteza matumaini kabisa.viongozi wa upinzani wapo kama hawapo vile.hawana ushawishi wala sera wala ajenda wala hoja zenye kugusa Maisha ya watu.Maeneo mengi sana hawajaweka wagombea na wengi hawakuchukua Fomu kwa hofu na uoga wakukataliwa..

Ninyi hamuwezi mkajiuliza inakuwaje viongozi wa ngazi za juu wa upinzani kama Lissu wanakimbia kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura? Sasa hamuoni ni ile hali ya kukata tamaa? Sasa kama wao tu viongozi hawajajiandikisha wanataka nani ajiandikishe na kuwapigia kura? Kama wao tu hawapo kwenye daftari la mpiga kura wanataka nani awepo na awape kura?

Na hivyo naweza kusema kuwa CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Nchi Nzima
Nahisi akili/ubongo wako una matatizo wahi hospital ukapime huo ubongo wako. Una shida sana Kijana
 
Acha kuzuga we mzee wakati mshaanza kuuchafua tayari.
 
Chama fulani kimesema kitahakikisha hata kama CCM ndo wameteuliwa tutawapigia kampeni ya kupigiwa kura ya hapana."
Naomba kwa mwenye ufahamu juu ya hii habari ya "kupigiwa kura ya hapana".
Kuna kura ya aina hiyo katika utaratibu wa uchaguzi huu wa serikali za mitaa?
 
CCM wajanja sana yaani.

Huko mtaani huko wagombea wa serikali za mtaa na vijiji wa vyama vingine wanakatwa, wanaopokea documents za wagombea wanakimbia ofisi ili wasipokee au wanafoji wagomea fake wa upinzani.

Alafu leo Makala anatamja hakuna kupita bila kupingwa ahahaaa 🤣 😂 🤣 😂 !.
Huo ndio ulaghai wa viongozi wa CCM nyakati hizi. Akili zao zimekataa kabisa kufikiri kikawaida, na badala yake wanataka wananchi na wao wafikiri kwa akili zilizo pinda kama wao.
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla akizungumza na Wanachama pamoja na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kinondoni katika Ukumbi wa Kiramuu Hall, leo NOV 04, 2024.

Amesema kwenye kipindi cha kampeni hakuna kulala Wana CCM wapambane watafute kura ili kukiwezesha Chama cha Mapinduzi kushinda kwa kishindo kwani Uchaguzi huu hakuna ile kushinda bila kupingwa japo kuwa kuna Mitaa ,Vijiji na Vitongoji wenzetu hawajaweka watu.

"Pamoja na kwamba kuna dalili za wenzentu kutosimamisha wagombea kwenye maeneo mbalimbali itakapotea naomba niongee na wana CCM wa Kinondoni na Nchi nzima kwamba Uchaguzi huu hauna kupita bila kupingwa msibweteke kwani mmesikia Chama fulani kimesema kitahakikisha hata kama CCM ndo wameteuliwa tutawapigia kampeni ya kupigiwa kura ya hapana."
Swa
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla akizungumza na Wanachama pamoja na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kinondoni katika Ukumbi wa Kiramuu Hall, leo NOV 04, 2024.

Amesema kwenye kipindi cha kampeni hakuna kulala Wana CCM wapambane watafute kura ili kukiwezesha Chama cha Mapinduzi kushinda kwa kishindo kwani Uchaguzi huu hakuna ile kushinda bila kupingwa japo kuwa kuna Mitaa ,Vijiji na Vitongoji wenzetu hawajaweka watu.

"Pamoja na kwamba kuna dalili za wenzentu kutosimamisha wagombea kwenye maeneo mbalimbali itakapotea naomba niongee na wana CCM wa Kinondoni na Nchi nzima kwamba Uchaguzi huu hauna kupita bila kupingwa msibweteke kwani mmesikia Chama fulani kimesema kitahakikisha hata kama CCM ndo wameteuliwa tutawapigia kampeni ya kupigiwa kura ya hapana."

Aache utapeli wa kijinga maana Tanzania hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Back
Top Bottom