Anayepaswa kujibu hoja za Lissu ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi siyo kada wa CCM.
Harafu anasema Maafisa wandamizi wa Umma ndiyo watasimamia uchaguzi?
Wanatofautiana nini na Wakurugenzi wa Halmashauri.
Harafu haoni aibu ya kusema eti nani kasema wataenguliwa?
Harafu anasema Maafisa wandamizi wa Umma ndiyo watasimamia uchaguzi?
Wanatofautiana nini na Wakurugenzi wa Halmashauri.
Harafu haoni aibu ya kusema eti nani kasema wataenguliwa?