Makamanda kadhaa wa HAMAS wajisalimisha kwenye hospitali ya Shifa

Makamanda kadhaa wa HAMAS wajisalimisha kwenye hospitali ya Shifa

Hacha ulongo. Hakuna Hamas hata mmoja aliyejisalimisha na haitatokea kitu kama hicho.

Kilichotokea hapo Shifa hosipitali ni mwendelezo wa propaganda za jeshi la Israeli. Ikumbukwe hii ni mara ya pili kwa jeshi la Israeli kuivamia hiyo hoipitali kwa madai kuwa hosipitali inatumika na Hamas kama operation center

Mara yakwanza wameivamei hiyo hospital hawakupata ushaidi wa madai yao waliokuwa wanayahubili,.

Ssahivi imewabidi waivamie tena baada ya juzi kati kupigwa na ambush ya kibabe karibu na maeneo ya hiyo hosipitali na kupelekea wanajeshi 17 wa IDF kulambishwa mchanga.

Sasa wameamua kuivamia tena hiyo hosipitali wakiamaini watawakamata makomandoo wa Hamas na kuambulia patupu. Kwa aibu wameamua kukamata raia waliokuwa wamejihifadhi hapo kwa vita na wagonjwa kwa minajiri ya kuwahoji zaidi
ila wavaa kobaz mna shida kichwani
 
Ambalo limeshindwa kuokoa raia wake na linapigana na watu wenye silaha hafifu kwa miaka zaidi ya 75 ila imeshindwa kuwamaliza what a shame
Eti silaha hafifu!! Wewe endelea kukuna nazi hapo kwa wifi yako haya mambo Yako nje ya uwezo wako.
 
Kabla ya IDF kuingia Gaza magaidi ya Hamas yalikuwa yanarusha rockets 7000 kwa siku je baada ya kuingia Gaza mara ya mwisho Hamas kurusha rockets Israel ilikuwa lini na walirusha rockets ngapi? Ukipata jibu hicho ndio kigezo mojawapo Cha IDF kuwa jeshi Bora

#From the river to the mad all Hamas must end up dead.
AND FROM THE RIVER TO THE SEA PALESTINA WILL NEVER EVER BE FREE.
 
Nini walichofanikiwa kufanya hao diaper force zaid ya kuua watoto na wanawake
Wakati watoto na wanawake wakiuliwa , wanaume wazima wanakuwa wamejificha kwenye mashimo kama fuko

Hamas wanatakiwa wawasaidie maana wao ndio walilianzisha October 7
 
Tulia hivyo hivyo! Netanyahu alishaapa kula sahani moja na magaidi baada ya shambulio la Oct 7
Vp kuhusu Israel ameua zaidi ya wapalestina 200 kabla ya shambulio la oct 7
Mokiti
 

Attachments

  • Screenshot_20240317-125909.png
    Screenshot_20240317-125909.png
    1.8 MB · Views: 3
kwann unawapangia muda wa kufanya kaz
Marekan kawafadhili israhell zaidi ya dollar billion 4 hamna cha maana wanachokifanya zaidi ya kulipua makaz ya watu, wamepoteza zaid ya wanajeshi 1000 dhidi ya watu wanaotumia ak47 na rocket ranger
 
Hiki ni kipimo sahihi kabisa kwa mtu anayewachokoza hawa jamaa....

Kama Hitler aliwashindwa, basi hakuna taifa lingine litawasumbua...

Kumbuka kipindi hicho Hitler alikuwa Super Power kwelikweli....
Hitler amewashindwa kawachinjachinja kam mil.6 wameona wasije wakaisha wakawa wanaingia kwenye mataifa ya watu kam wakimbizi
 
Hacha ulongo. Hakuna Hamas hata mmoja aliyejisalimisha na haitatokea kitu kama hicho.

Kilichotokea hapo Shifa hosipitali ni mwendelezo wa propaganda za jeshi la Israeli. Ikumbukwe hii ni mara ya pili kwa jeshi la Israeli kuivamia hiyo hoipitali kwa madai kuwa hosipitali inatumika na Hamas kama operation center

Mara yakwanza wameivamei hiyo hospital hawakupata ushaidi wa madai yao waliokuwa wanayahubili,.

Ssahivi imewabidi waivamie tena baada ya juzi kati kupigwa na ambush ya kibabe karibu na maeneo ya hiyo hosipitali na kupelekea wanajeshi 17 wa IDF kulambishwa mchanga.

Sasa wameamua kuivamia tena hiyo hosipitali wakiamaini watawakamata makomandoo wa Hamas na kuambulia patupu. Kwa aibu wameamua kukamata raia waliokuwa wamejihifadhi hapo kwa vita na wagonjwa kwa minajiri ya kuwahoji zaidi
Watumwa mna vituko
 
Uko zako rufiji na kitecno chako unasema no retreat no surender kenge weeee hata manani hujawahi shika[emoji16]
haina kusanda hii acha wapigane wote mpaka waishe wanagombea pale wote sio kwao the real Jews tupo huku utumwani Tabora tunalimishwa tumbaku acha wamalizane turudi kwenye ardhi ya baba yetu Ibrahimu
 
Back
Top Bottom