Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

huna akili.
😂😂😂😂😂😂😌

ahhh, umeishiwa na hoja. Nenda kachezee dola uone, muulize Lissu kule ubeligiji anachua, muulize Mbowe hakuna aliyeenda kumwona gerezani, sasa ana foka na mapovu hadharani unafikiri kwa sababu gani? Halafu unakuja wewe kuwa hadaa watu waende barabarani. Mbula.

una onekana umekosa mwelekeo, na unakuwa na wasiwasi. Unajali sana watu, umenijali kweli mweee🤭

Je, unahisi uwezo wako wa kung'amua au maono yako daima sio sawa?

Pole kaka/dada manake naona unakasirika wakati the laugh is on you

oops😂😂😂😂😂😂😂

huna Akili wewe🤭👈

👇
 
muulize Lissu kule ubeligiji anachua, muulize Mbowe hakuna aliyeenda kumwona gerezani, sasa ana foka na mapovu hadharani unafikiri kwa sababu gani? Halafu unakuja wewe kuwa hadaa watu waende barabarani. Mbula

huna akili.
 
WATANZANIA TUMESTAARABIKA HATUWEZI KUGEZA YA KIPUMBAVU, SISI TUMEZOEA DESK-2-DESK NEGOTIATIONS, HATUWEZI FUATA UPUUZI WA JIRANI ZETU, TUKARUHUSU MAENDELEO YETU KUSIMAMA UKIZINGATIA MWENDAZAKE ALIIARIBU NCHI YETU NZURI TANZANIE,TUNATAKA KUJENGA TAIFA LA MFANO, SEHEMU TULIVU ILI IWE DARASA KWA MATAIFA MENGINE NA DUNIA KWA UJUMLA WAKE.
 
I see. So shida kubwa kwako iko kwa "hao" wanaowanyanyapaa wengine na kuwaona si wazalendo? I'm just wondering who exactly are the folks you're referring to? Kilicho wazi ni kuwa CCM hawataki kabisa katiba mpya wala tume huru. Vyama vingine navyo havina mtazamo/msimamo mmoja kuhusu vyote (Katiba mpya na Tume Huru). Kuna vilivyoanza kudai tume huru kwanza, katiba baadaye na kuna vilivyosisitiza katiba kwanza halafu tume.

Anyway, mimi nimekupa reality ya Tanzania. Siamini kitu kinachoitwa 'coalition of the willing' hapa Tanzania. Sounds suspicious. Kenya tayari wako level nyingine na CCM ya Tanzania si kama chama tawala cha Kenya. Kama unaamini Raila Odinga anafaa kuwa role model ya wadai katiba Tanzania, basi sawa. I'm just not in.
 

Sema hivi sisi (makondoo) hata tukiambiwa kuhamia Burundi - hewala Mama!
 

Bandiko lako ni la kusikitisha. Uko busy kujaribu ku personalize mambo.

This is not personal.

Kenya wako mbali? Walifika mbali kutokea mbinguni? Hukuwahi kusikia vinavyoelea vimeundwa?

Kwamba wewe huamini kwenye coalition of the willing? Kwa hiyo? Kwani wewe ni nani mjomba?

Kenya wanadai mambo yao kitaifa. Hakuna mwandamanaji aliyevaa sare ya chama chake. Hatuna la kujifunza? No wonder tupo tulipo.



Tambua siandiki kwa niaba ya mtu wala chama. Ukombozi wa nchi hii sasa ni muhimu mno kuliko mtu au chama chochote:

Uchaguzi 2024/25 wa nini kama hakuna Katiba Mpya?

Uchawa wala egoism havilipi -- is not worth it.

Umoja ni nguvu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…