smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,564
- 12,014
huna akili.😛[emoji23][emoji23][emoji2][emoji23]
[emoji18][emoji18]
Una posti pale Ufipa. Nyie chezeeni Dola Na Serikali muone....kama ndio Akili hizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huna akili.😛[emoji23][emoji23][emoji2][emoji23]
[emoji18][emoji18]
Una posti pale Ufipa. Nyie chezeeni Dola Na Serikali muone....kama ndio Akili hizo.
😂😂😂😂😂😂😌huna akili.
Zamu ya nini?
Walijitutumua.Chadema walitaka kuletea huu ujinga kipindi fulani
muulize Lissu kule ubeligiji anachua, muulize Mbowe hakuna aliyeenda kumwona gerezani, sasa ana foka na mapovu hadharani unafikiri kwa sababu gani? Halafu unakuja wewe kuwa hadaa watu waende barabarani. Mbula
I see. So shida kubwa kwako iko kwa "hao" wanaowanyanyapaa wengine na kuwaona si wazalendo? I'm just wondering who exactly are the folks you're referring to? Kilicho wazi ni kuwa CCM hawataki kabisa katiba mpya wala tume huru. Vyama vingine navyo havina mtazamo/msimamo mmoja kuhusu vyote (Katiba mpya na Tume Huru). Kuna vilivyoanza kudai tume huru kwanza, katiba baadaye na kuna vilivyosisitiza katiba kwanza halafu tume.Hapana sikubaliani nawe. Ona hii:
View attachment 2560078
Hii si vita ya Chadema, ACT au awaye yote.
Tuwaunganishe watu wote chini ya mwamvuli mmoja:
Kuharakisha Katiba Mpya tuunde 'Coalition of the Willing'
Tusinyanyapaane au kuitana majina.
Hakuna aliye bora au mzalendo zaidi kuliko mwingine.
Tofauti yetu Iko humo kwenye ubaguzi wa kijinga.
Mashoga hamjifichi khaa!!!Nasema hivi nikiona wewe na mamako mnapigwa kijambio na chongolo na yule wa phd fake msukuma namimi nitakupa kijambio.
WATANZANIA TUMESTAARABIKA HATUWEZI KUGEZA YA KIPUMBAVU, SISI TUMEZOEA DESK-2-DESK NEGOTIATIONS, HATUWEZI FUATA UPUUZI WA JIRANI ZETU, TUKARUHUSU MAENDELEO YETU KUSIMAMA UKIZINGATIA MWENDAZAKE ALIIARIBU NCHI YETU NZURI TANZANIE,TUNATAKA KUJENGA TAIFA LA MFANO, SEHEMU TULIVU ILI IWE DARASA KWA MATAIFA MENGINE NA DUNIA KWA UJUMLA WAKE.
I see. So shida kubwa kwako iko kwa "hao" wanaowanyanyapaa wengine na kuwaona si wazalendo? I'm just wondering who exactly are the folks you're referring to? Kilicho wazi ni kuwa CCM hawataki kabisa katiba mpya wala tume huru. Vyama vingine navyo havina mtazamo/msimamo mmoja kuhusu vyote (Katiba mpya na Tume Huru). Kuna vilivyoanza kudai tume huru kwanza, katiba baadaye na kuna vilivyosisitiza katiba kwanza halafu tume.
Anyway, mimi nimekupa reality ya Tanzania. Siamini kitu kinachoitwa 'coalition of the willing' hapa Tanzania. Sounds suspicious. Kenya tayari wako level nyingine na CCM ya Tanzania si kama chama tawala cha Kenya. Kama unaamini Raila Odinga anafaa kuwa role model ya wadai katiba Tanzania, basi sawa. I'm just not in.
Walijitutumua.
"Walivimbisha misuli" 😂
😂 ***** wameomba maridhiano😂
😂😂😂