luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Kenyan's leaders msha prove failure
Uhuru aliitisha mkutano Nairobi akaitaa woteee wadau wa amani Drc akasahau kumuita Kagame hapo alikuwa ana ogopa ata mkwaza thennurafik wao utaingia doa na kagame ata kasirika na kusitisha biashara na kenya...
Sasa hapo huwezi kisaidia kuleta amani DRC, alipaswa ahakikishe PK anashiriki ktk ule mkutano how come unamuita Pres wa Burundi qhile tunajua mpaka wa Burundi na DRc umetulia ? Then mnashauri Burundi iitishe peace talk na waasi then mnashindwa kumwambia Pk na yy aitishe peace talk na waasi wake ... Huku ni kutwanga maji ktk kinu
Uhuru aliitisha mkutano Nairobi akaitaa woteee wadau wa amani Drc akasahau kumuita Kagame hapo alikuwa ana ogopa ata mkwaza thennurafik wao utaingia doa na kagame ata kasirika na kusitisha biashara na kenya...
Sasa hapo huwezi kisaidia kuleta amani DRC, alipaswa ahakikishe PK anashiriki ktk ule mkutano how come unamuita Pres wa Burundi qhile tunajua mpaka wa Burundi na DRc umetulia ? Then mnashauri Burundi iitishe peace talk na waasi then mnashindwa kumwambia Pk na yy aitishe peace talk na waasi wake ... Huku ni kutwanga maji ktk kinu