Makamanda wawili wa Hamas wauwawa huko Gaza.

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Hii ni taarifa iliyotolewa na IDF

The Director of Hamas Security Operations in the Gaza Strip, Major General Mahmoud Abu Salah as well as his Assistant and the Director of Investigations, Brigadier General Hussam Shahwan were both Eliminated by an Israeli Airstrike last night near Khan Yunis in Southern Gaza.
 
Hivi,mgambo huwa wana vyeo kama Brigedia Jenerali au Meja Jenerali nk?Hivyo siyo vyeo vya kijeshi?Hamas kujiita/kuitwa mgambo ni kudunishwa au kupata huruma tu?
 
IDF wanawachinja viongozi wa Hamas kimahesabu sana.

Hamas wasipo saini 'sizi faya' mapema, viongozi wote wataisha patabaki na ombwe kubwa sana la kiuongozi.

Maana kila siku ni habari za viongozi tu kuuawa, wataisha sasa!
Hawana shida; wanazaliana kama kumbikumbi ndani ya muda mfupi watakuwa wame-triple with majenero wa kutosha.
 
wanamgambo huwa wanavwanajeshi wenye vyeo?
 
wanamgambo huwa wanavwanajeshi wenye vyeo?
Hamas ni vikosi vyenye mafunzo ya hali ya juu hadi ukomandoo na vyeo almost vyote vya kijeshi wanavyo.

In short ni jeshi kamili neno mgambo lisikusumbue. Sema ni vile tu ngangari wamekutana na ngunguri wanadhibitiwa vilivyo. Israel angelegeza kidogo tu angeshafutwa duniani.
 
Hivi,mgambo huwa wana vyeo kama Brigedia Jenerali au Meja Jenerali nk?Hivyo siyo vyeo vya kijeshi?Hamas kujiita/kuitwa mgambo ni kudunishwa au kupata huruma tu?
Kwanza kabla ya hilo swali; fikiria aina ya silaha wanazo tumia; sidhani kama nchi za Kiafrica tunazo hizo silaha, baada ya hapo sasa ndio ujiulize, wale ni mgambo kweli au askari wa ukweli ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…