Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
- #21
Hakika mkuuHata wasipoandika kibra haikwepeki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuuHata wasipoandika kibra haikwepeki.
Ebhanaeeee 🔥🔥🔥🔥🔥 hadi jinsi ya kuchagua mke 😆😆Kazungumza mengi
*Operation zake za kuondoa Malaya na ombaomba
*Kikulacho ki nguoni mwako
* jinsi ya Kuchagua mke
E.t.c
Akatoa sababu kadhaa ya kwanza uzuri wa sura ya pili dini akasema ukioa mwanamke asiye na maadili ya dini kasema hata watoto wako hawawezi kuwa na maadili mema 😊 so tuoe wanawake wanye kufuata misingi ya diniEbhanaeeee 🔥🔥🔥🔥🔥 hadi jinsi ya kuchagua mke 😆😆
Wanaandika tayari wakiwa na umri mkuwa.True yaan wazee wakiandika tu..adding to the list MZEE WA RUKSA HAYATI
AL HASSAN MWINYI
Ni kweli maana Mara nyingi life span ya mstaafu haizid miaka 30 +Wanaandika tayari wakiwa na umri mkuwa.
Mkuu kiagata umekisoma?? au umefanya general assumption... for sure hapa duniani ni kua hakuna mtu mjinga kiasi usijifunze chochote kutoka kwakeHakuna cha maana kwenye hicho kitabu